Hii ndio utakuwa muonekano wa iPhone 16 Pro, Kampuni ya Apple imeishiwa ubunifu

Steve job died with his innovations kampuni inabebwa na umarekani lkn innovation imekufa muda sana
 
Tutafuteni hela wajameni tupunguze malalamiko yasio na MSINGI
 
.,Hebu elezea hivyo vifungu vitatu ambavyo waafrika hajui kuvitumia....
 
Na wengi wanaotumia iPhone Africa hawajuwi matumizi yake, wengi wanatumia kwa kujionyesha kuwa wanayo na kupiga picha tu, very stupid of them.
Kwani wewe hiyo simu yako unatumia kufanya nini zaidi ya hayo matumizi ulio orodhesha? Wewe unaumia nini?
 
Haina maajabu
 
🀣🀣 hivi umeona hizi tecno, infinix latest? Camera bonge la duara kama plate ya jiko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜
Jiko la gas … oryx
 
Kuna baadhi ya app hazikubali ku install.

Tatizo ni hili, Apps km 3 zilikataa ku install, aaah nkaona siwezi ishi bila hizi App nkaachana nayo.
App gani? Labda kama hujui na hufanyi updates……..! Hebu twambie apps zilizo kusumbua ….
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…