Achana nae hao wanajifanyaga wana miakili kumbe utopolo
There no victory without history
Hii ndio comment ya kibabe, [emoji23],Maisha ya duniani ni mafupi sana,hivyo ukipata nafasi ya kuishi maisha ya raha kama Haya huna budi kuyaishi hasa.acha kijana aburudike na aishi maisha ya ndoto yake,hongera kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli pesa ni uchiziHii ndiyo gari la mnyama Platnumz, yaani gari itatua Uwanja wa ndege wa Mwl J.Nyerere terminal lll, likiwa ndani ya ndege ya kukodi ya mzingo..
So far, bei ya gari ni sawa budget nzima ya wizara ya Mwakyembe,
Nyinyi ndo wale mliodeki barabara ili Lowasa apite, akili mlishazinyaHiyo gari haina haja ya kuweka mafuta, wapambe wataisukuma kila anakotaka kwenda.
Wivu utakuua.Namuonea sana huruma Diamond Platnumz. Anajaribu kuprove point kwa watu ambao hawako kwenye mashindano nae. Jamaa akifilisika hapo mbele sintoshangaa. Eti hoteli Mikocheni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Aya bana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi ndo wale mliodeki barabara ili Lowasa apite, akili mlishazinya
HBaba unazingua sasa[emoji1][emoji1]Wasio nacho wakiwa wanamjadili aliyenacho
Hizo ndiyo akili za masikini wa kitanzania hebu tafuteni pesa vijana maana unakuta anayeandika hivi anaishi kwao na kula ugali wa baba ake utafikiri nae ni mama yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya wewe na yule jamaa wa twitter nani ka copy kwa mwenzie?Hii ndiyo gari la mnyama Platnumz, yaani gari itatua Uwanja wa ndege wa Mwl J.Nyerere terminal lll, likiwa ndani ya ndege ya kukodi ya mzingo..
So far, bei ya gari ni sawa budget nzima ya wizara ya Mwakyembe,
Hiyo gari haina haja ya kuweka mafuta, wapambe wataisukuma kila anakotaka kwenda.