Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
Hiyo mitambo ikoje? Maana ni screen,camera , computer.Bahati mbaya lazima muingie mkubaliano na wenye makumpuni yaliyopitishwa na FIFA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mitambo ikoje? Maana ni screen,camera , computer.Bahati mbaya lazima muingie mkubaliano na wenye makumpuni yaliyopitishwa na FIFA
Inawezekana kabisa ila wakoloni wanaakili na wanaona mbali sana ambapo nchi masikini hazioni. FIFA yenyewe wameweka vijisheria ambavyo lazma vitawafaidisha wao na hawataki kabisa kutoa fursa kama hizo sijui za kutumia Azam tv replay.Kwanini marejeo ya kwenye tv yasiruhusiwe? Mfano refa anakuwa na king'amuzi chake cha azam kule pembeni
Sijaelewa hapa.VAR system huweza kutumia camera 33 zilizo simikwa kwenye viwanja tofauti kwa mchezo mmoja
Marejeo ya Azam yenyewe huwa hayako clear.Kwanini marejeo ya kwenye tv yasiruhusiwe? Mfano refa anakuwa na king'amuzi chake cha azam kule pembeni
Ni kiwanja kimoja, amekosea kimaandishi kidogo tu.Camera 33 ktk viwanja tofauti kwa mchezo mmoja
Agiza kvant kubwaSisi sidhani sana kama tunahitaji hiyo VAR kwa sasa ila ambacho tungehitaji sana sana ni mfumo fulani wa kuhakiki kura kwenye uchaguzi ili chaguzi zetu ziwe za haki.
Mfumo unaotumika sasa ni wa kihuni kabisa na uliojaa hila na matokeo yake tunapata viongozi ambao sio kabisa chaguo la wapiga kura.
We anxiously need VAR for checking election outcome rather than for checking soccer results.
Ni kiwanja kimoja, amekosea kimaandishi kidogo tu.Camera 33 ktk viwanja tofauti kwa mchezo mmoja
Aliota TuHivi yule jamaa aliwaza nini!?
Ni rahisi wao kuboresha kuliko VARMarejeo ya Azam yenyewe huwa hayako clear.
Mashabiki wa makolo fc wanapambana sana kuipinga VAR.Yule waziri failure alikurupuka tu.
Sio washindwe kuweka ili mikia waendeleze chupli chupli!?Ingependeza kama gharama ikawa kubwa zaidi ya hapa ili washindwe hadi watakapong'amua kuwa sheria number one ya soka ni Kiwanja, na wakaanza Kudial na viwanja kwanza na siyo VAR.
Hapo wataweza hii gharama hata kwa mkopo.
FIFA wanaruhusu marejeo ya TV ? Hilo ndo swali la kujiulizaTuwekeze katika viwanja ili tupate kuona mechi bora.
Kwa kuanza na var wanaweza funga tv ya azam uwanjani ikasaidia kufanya mrejeo iyo itatosha kuanzia