Hii ndiyo Gharama ya Kufunga Mfumo wa VAR, Tanzania bado sana hatuwezi

Mashabiki wa makolo fc wanapambana sana kuipinga VAR.
Jitahidini mshinde kihalali
Nchi yenyewe ni kama kiota cha ndege, watu wake wananuka shida kila kona ya miili yao, kwenye michezo team zinacheza kwenye mabwawa badal ya kutengeneza viwanja eti mafukara nao mnawaza VAR[emoji28].
 
Tuboreshe viwanja kwa kutandika nyasi bandia. mambo ya VAR ni siasa tu
 
GSM anaweza kujitolea kufunga VAR kwenye viwanja vya nchi nzima, si ana hela nyingi🐒
 
Hiyo billion 14 inatosha kabisa kuweka kapet na taaa za viwanja vyote vya ccm
 
Hizo fedha zitumike kufundisha waamuzi wenye viwango qu hata ikiwezekana wazitumie kuleta waamuzi wenye viwango kutoka nje kusaidiana na wale wanaofanya vizuri ndani ya nchi
 
Kombe la Dunia napo nchi washiriki huwa wanalipia hizi gharama kwa kila mechi? kama ilivyo kwenye Vilabu
 
Kwani c lzm tukatumia hz za kwao wkt ni waz kuwa ili kupata marejeo ya mechi wanatazama video za Azam tu hkn kipya Azam waweke video uwanjani kukitokea shida refa ajiridhishe

Hizo fedha zitumike kufundisha waamuzi wenye viwango qu hata ikiwezekana wazitumie kuleta waamuzi wenye viwango kutoka nje kusaidiana na wale wanaofanya vizuri ndani ya nchi
Hao waamuzi wa nje wenyewe wanatumia VAR
 
2naweza ila kwa saa hiv haina maana 7abbu viwanja vingi havina ubora
 
Mashabiki wa Yanga wanakomaa kweli isiwekwe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…