Hii ndiyo Gharama ya Kufunga Mfumo wa VAR, Tanzania bado sana hatuwezi

Humu kuna wataalamu wa kufukunyua nyuzi za zamani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Msimshambulie mleta mada, aliyasema haya miaka 2 iliyopita. Kama AZAM hadi mwaka jana tu walikuwa wanatumia camera mbili katika mechi tena za timu kubwa kama Simba matokeo yake wanashindwa kuonyesha matukio ya offside kwa uhakika, ilikuwa sahihi kujiuliza haya maswali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ