Hii Ndiyo Hadithi ya Mjasiriamali Anayejivunia mafanikio makubwa Kutokana na Biashara ya Kuku

Paspii0

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2020
Posts
346
Reaction score
522
Alianza na nyoya moja la kuku alilo-okota njiani wakati akitembea matembezi ya jioni, lakini leo hii ni mfalme wa ufugaji wa kuku, akisambaza bidhaa zake katika masoko ya kimataifa.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸΎ sijui huwa mnatuonaje,ningekuwa na mamlaka nngechunguza biashara zenu
 
Wajasirimali wengi wa Tz hawana tofauti na viongozi wa CCM ,,,wamekaaa kitapelii Sanaa na maneno mengi ya uongoo..ety nilianza kuchoma CD ss namiliki makampuni ya ujenzii πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Wajasirimali wengi wa Tz hawana tofauti na viongozi wa CCM ,,,wamekaaa kitapelii Sanaa na maneno mengi ya uongoo..ety nilianza kuchoma CD ss namiliki makampuni ya ujenzii πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
πŸ˜‚ohh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…