Michael mbano
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 820
- 570
Mkuu wa nchi alipokuwa anamuapisha Jenerali Mkunda kasema Jenerali Mstaafu Mabeyo ataendelea kumteua ktk majukumu mengine, na akasema leo hii Katibu Mkuu atamteua mstaafu Mabeyo ktk kazi nyingine.
Je, ipi maana ya kustaafu ?
Je, ipi maana ya kustaafu ?