Hii ndiyo maana ya kustaafu?

Hii ndiyo maana ya kustaafu?

Mh mkuu wa nchi alipokuwa anamuapisha general mkunda kasema general mstaafu wa jwtz ataendelea kumteua ktk majukumu mengine,na akasema leo hii katibu mkuu atamteua mstaafu Mabeyo ktk kazi nyingine.Je ipi maana ya kustaafu ?
Mwenyekiti wa bodi ni post ambayo ni ceremonial tu snafanya kazi ya kuongoza vikao vya bodi vinavyokaa mara chache tu kwa mwaka na kutoa ushauri tu ile siyo ajira rasmi ingawa posho yake ni ndefu
 
Two toungs of eaters network
Huku hakuna ajira huku ajira kwa wastaafu
 
Mwenyekiti wa bodi ni post ambayo ni ceremonial tu snafanya kazi ya kuongoza vikao vya bodi vinavyokaa mara chache tu kwa mwaka na kutoa ushauri tu ile siyo ajira rasmi ingawa posho yake ni ndefu
Ndiyo hoja ya mleta uzi
 
Kustaafu kusini mwa jangwa la Sahara hakuna maana
Inachotakiwa maliza mkataba A uanze mkataba B
Halafu elewa ile position aliyokuwa nayo hapakuwa padogo
Mbona hawafanyi hivyo kwa kada zingine pia? Siasa ni kitu kibaya sana!
 
Bodi sio issue, ngoja akapumzikie huko afande CDF Mabeyo
 
Keshapangiwa huko kwenye mbuga, acha akale upepo.

Ungekuwa wewe mtu kasimamia katiba hadi ukatusua ungemwacha.

Wastaafu tupo akina Mamndenyi
 
Mh mkuu wa nchi alipokuwa anamuapisha general mkunda kasema general mstaafu wa jwtz ataendelea kumteua ktk majukumu mengine,na akasema leo hii katibu mkuu atamteua mstaafu Mabeyo ktk kazi nyingine.

Je ipi maana ya kustaafu ?
Hii nchi kama unajulikana utakula mpaka ufe
 
Mh mkuu wa nchi alipokuwa anamuapisha general mkunda kasema general mstaafu wa jwtz ataendelea kumteua ktk majukumu mengine,na akasema leo hii katibu mkuu atamteua mstaafu Mabeyo ktk kazi nyingine.

Je ipi maana ya kustaafu ?
Kustaafu ni kubadilisha majukumu toka uliyokuwa nayo kwenda mapya..!! Kama ilivyo kupumzika, nikubadilisha kazi toka moja kwenda nyingine...!!
 
Hii nchi wanaostaafu ni watu wa hali za chini vigogo wao ni kuendelea kutafuna mema ya nchi
 
N kada zingne tu ndo tunastaafu ila wakuu wa vitengo huwa wanaendlea na teuzi
 
Mwenyekiti wa bodi ni post ambayo ni ceremonial tu snafanya kazi ya kuongoza vikao vya bodi vinavyokaa mara chache tu kwa mwaka na kutoa ushauri tu ile siyo ajira rasmi ingawa posho yake ni ndefu
kama ni hivyo kumbe vijana wenzangu wanaoweza wapo wangetazamwa .
 
Back
Top Bottom