Hii ndiyo maana ya kustaafu?

Hii ndiyo maana ya kustaafu?

Haya yanayotokea ni kuwa raisi ana practise exessive power aliyopewa na katiba na hakuna wa kumuwajibisha ,
Kama uliwahi kusikia moja ya pendekezo la katiba mpya hi kupunguza mamlaka ya raisi pamoja na kumjwajibisha in case akikiuka katiba ,

Tunayoya ona Kenya sasa yanashangaza Jaluo na kikiyu kukaa meza moja, Uhuru anajua kwa katiba waliyonayo akisndelea kumkumbatia Ruto anajiweka red zone

Uhuru na Ruto hawapatani toka kitambo it has nothing to do with katiba. Mitanganyika mnasifia kila kitu Cha Kenya hata upumbavu.

Mitanganyika mnasifia Nairobi kuliko London. Mkienda mnarudi mmevaa culture za Kenya mwili mzima mnajikuta nyie wakenya pia ndo maana wakenya look down on you sababu mnawashobokea sana.
 
Uhuru na Ruto hawapatani toka kitambo it has nothing to do with katiba. Mitanganyika mnasifia kila kitu Cha Kenya hata upumbavu.

Mitanganyika mnasifia Nairobi kuliko London. Mkienda mnarudi mmevaa culture za Kenya mwili mzima mnajikuta nyie wakenya pia ndo maana wakenya look down on you sababu mnawashobokea sana.

Ng’ambo nyingine ya mto mara nyingi huonekana kuwa ya kijani zaidi. Ukihamishia ng’ombe wako huko ndiyo utaijua hali halisi.
 
Ng’ambo nyingine ya mto mara nyingi huonekana kuwa kijani zaidi. Ukihamishia ng’ombe wako huko ndiyo utaijua hali halisi.

Exactly. Mitanganyika ni watumwa wa mikenya Hadi aibu.

Mitanganyika inasifia chochote kile Cha Kenya hata upumbavu wa mwisho wao wanasifia tu meanwhile mkenya hawezi Sifia chochote kile cha TZ hata kiwe kizuri vp.

Angalia wabongo wanavyovaa culture za Kenya ushangae afu tafuta mkenya hata mmoja aliyevaa culture ya TZ if there's any.
 
Back
Top Bottom