Michael mbano
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 820
- 570
Kuwa mwenyekiti wa bodi hyo ni seasonal work.haina rabsha rabshaMzee anaendelea kulamba asali
Tanzania ni Futuhi!Mzee anaendelea kulamba asali
Mh mkuu wa nchi alipokuwa anamuapisha general mkunda kasema general mstaafu wa jwtz ataendelea kumteua ktk majukumu mengine,na akasema leo hii katibu mkuu atamteua mstaafu Mabeyo ktk kazi nyingine.Je ipi maana ya kustaafu ?
Wacha aendelee kula nchi wakati vijana wanazunguka mtaani.Mh mkuu wa nchi alipokuwa anamuapisha general mkunda kasema general mstaafu wa jwtz ataendelea kumteua ktk majukumu mengine,na akasema leo hii katibu mkuu atamteua mstaafu Mabeyo ktk kazi nyingine.Je ipi maana ya kustaafu ?
Nikuajiri uwe mkeVijana endeleeni kujiajiri.
Usisahau alimlindia mama kigoda.Mh mkuu wa nchi alipokuwa anamuapisha general mkunda kasema general mstaafu wa jwtz ataendelea kumteua ktk majukumu mengine,na akasema leo hii katibu mkuu atamteua mstaafu Mabeyo ktk kazi nyingine.Je ipi maana ya kustaafu ?
Haa HaaUsisahau alimlindia mama kigoda.
Amempa Uenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Ngorongoro (NCAA) akasimamie miradi ya wajomba wa Muscat na Dubai.Mh mkuu wa nchi alipokuwa anamuapisha general mkunda kasema general mstaafu wa jwtz ataendelea kumteua ktk majukumu mengine,na akasema leo hii katibu mkuu atamteua mstaafu Mabeyo ktk kazi nyingine.Je ipi maana ya kustaafu ?
Ameshaula tayariMh mkuu wa nchi alipokuwa anamuapisha general mkunda kasema general mstaafu wa jwtz ataendelea kumteua ktk majukumu mengine,na akasema leo hii katibu mkuu atamteua mstaafu Mabeyo ktk kazi nyingine.Je ipi maana ya kustaafu ?
Mchango wake Ni mkubwa ktk Taifa, acha apewe hiyo nafasi kwenye bodi ya ngorongoroKustaafu kusini mwa jangwa la Sahara hakuna maana
Inachotakiwa maliza mkataba A uanze mkataba B
Halafu elewa ile position aliyokuwa nayo hapakuwa padogo