Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Watu wengi wa mazoezi ndo wanatumia vumbi la Congo, anapiga goal lake moja inatosha especially footballers wa kibongo nna ushahidi

sasa wewe hata push up tano huwezi kupiga unatumia vumbi litakuumiza
 
"Ni pale mchezaji anapo mtegemea sub ili aoneshe kiwango chake, ili hali mpinzani anajua wazi kiwango halisi ni 0" alisikika mdada m1. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu kosa lako ulofanya ni kutumia muda mrefu bila ya kuosha dawa. Inatakiwa isizidi lisaa limoja. Na haitakiwi upake mpaka nyinginyi igandane. Unapaka kistaa tu kazi ataiona na wazungubwatakuja tu.
yaan ukishapaka utulie af zen uoshe rungu kabla ya kuingia mzigon au cjaelewa mkali
 
Uko Arusha bro..
 
Siku ukimla bila vumbi eti unataka ufaidi hata kukubipu hatojaribu
 
Azarel ukizuia damu kweny organ Ina undergo cell death then anapata gangrene
Ganzi kwa kiingereza ni #Acupuncture

Moja kati ya side effect ya Acupuncture ambayo haijatokana na needle injection yaani kama hiyo ya kupaka Viagra ni #Nerve Damage (kufa kwa neva) na hii ina connection na uti wa mgongo pamoja na Ubongo.

Jaribu kugoogle side effects za Acupuncture
 
Hii ya kuacha zaidi ya nusu SAA ikoje mkuu embu nielezee ?

Ukipaka unakaa Massa mangap ndo unyandue ?
 
Hii ya kuacha zaidi ya nusu SAA ikoje mkuu embu nielezee ?

Ukipaka unakaa Massa mangap ndo unyandue ?

Kazi ya Vumbi la mkongo ni kuua Ganzi.
So ikipakwa kwenye Uume , basi uume unakufa ganzi, na unakuwa hauhisi chochote.

So kama ukipakwa kwenye kichwa cha uume (ambacho kinaleta msisimko) basi ule msisimko hauhusikii,
So kama ni kufika mshindo basi unatumia hisia zako na sio ile raha ya kuhis joto/utamu wa ukeni.

Ila Sasa ukipaka kwa wingi basi hata ule Uume wenyewe hauwez kuusikia kama upo pale.
Na shida inaanzia hapo. Utadindisha na utashoka na hutafika.

Ila ukipaka kidogo tu, bas utasikia msisimko kwa mbali.

Wazungu wanazo dawa zinafanya kazi ya delay ejaculation na ni legal kabisa kuuzwa pharmacy.
 
Kwa kuongezea.

Hizi Dawa za Kuongeza nguvu,
morani, alkasusi, vumbi ya mkongo zoote utatakiwa wewe kama mwanaume ule ushibe , uwe na uwe na Hisia.

Na ndio maana zinasema kuongeza nguvu , maana inakuongezea zaid ya nguvu zako.

So kama una matatizo ya kutosimamisha, kusinyaa uume,
Hanithi hizi dawa hazisaidii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…