Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Na unatakiwa upake Masaa mangap kabla ya kunyandua ? Na inapakwa kwenye ringi LA kichwa au kichwa chote ?


Nataka nikaijaribu mkuu

Na je manzi asipotekea haina madhara ?
 
Mwanangu kama ulibakisha vumbi kidogo nije kulifuata nina game jumamosi na uwa nakojoa mapema sana nikiwa na mitoto mizuri. Njoo PM tuyajenge
Wee njoo pm nikuuzie vumbi la Congo original kwa bei poa
 
Pole sana ushauri wangu ni kwamba siku nyingine ukinunua dawa dukani usisahau kusoma maelekezo nje ya boksi. Jivu la Kongo ni la kuchelewesha kufika kileleni. Na limefanya kazi kwako vizuri kupindukia. Mimi nilidhani unalalamika kwamba ulitapika mara baada ya kunusa tuu kumbe ilikuchukua masaa matatu! Hebu kijana kuwa na shukrani. Utamu wa pilipili ni kuwasha.
 
Dah hii teknolojia mkongo katuingiza king. Mi mwenyewe niliwahi kuitumia, yaani nimeanza kupiga game movie ya Acrimony ya Taraji kwenye pc ndo kwanza ina dk 7 imeanza eti nimekuja kupiga bao la kwanza movie inaisha inaandika majina ya washirika. Kiukweli sikufaidi na niliapa sirudii tena
 
Mimi huu utopolo sijawahi kuutumia
 
Mi nadhani wadau wanakosa semina elekezi jinsi ya kutumia hii kitu mkombozi. Na hili ni kosa la wauzaji/supplier.
Nikiwa km muuzaji na mtumiaji/tester nambari wani naomba nitoe muongozo japo kwa ufupi.

[emoji1542]Ni hivi, kabla hujaingia trafodi... unajipaka lile vumbi juu ya silinda hedi kidogo tuu poti (yani kidogo sanaaa!). Halafu unajifunga na kinailoni ili hewa isifike pale eneo la tukio.
Hapo sasa unajipimia muda wa kudumu kwenye mtanange. Ukikaa nayo zaidi ya saa 2-3 utambue kabisa kua utatumia hadi dk45 kufika mshindo wa kwanza (hii inategemea na ubora wa mwanamke).Nakushauri usikae nayo sana
Ili ufurahie tendo.
[emoji1542]Ukihisi km inanyandua flani hivii usiogope ndio ganzi inajiaplai.
Baada ya muda wako kufika unajifuta fresh ili usigundulike mzee then unaenda kufanya maangamizi.[emoji1417]

[emoji1542]Kama wewe sio chovyachovya, kichupa kimoja utadumu nacho hadi miezi 3+.

[emoji879]ANGALIZO[emoji879]
[emoji3544]usitumie hii kitu kwa minajili ya kumkomoa mwanamke, utajiumiza mzee!
[emoji3544]usitumie km unaenda kumdinya kahaba/changu maana utachelewa kukojoa matokeo yake utavua kondomu ili usevu muda.
[emoji3544]usitumie hii kitu halafu ukapige punyeto bwana mdogo, hakika utakufa!
[emoji3544]ukipaka halafu mwanamke akakunyima, usifosi. Nenda kaoge na sabuni kisha jipumzishe
Au kanywe bia.
[emoji3544]Bei ya vumbi inatofautiana, Sie huku unguja tunauziana 5k, ila ukija kiboya nakuuzia hadi 10k kwa kichupa. Maswala ya madhara madokta watashughurikia huko. Sie twaamsha popo hatuna habari.
 
Nataka kuwaagiza jamaa walete ile ya kupaka niwauzie wadau mnaotaka kukomoa K!!
 
Baada ya kujipaka na kukaa mda mchache ukijifuta unajifuta na maji ?

Hivi ni kwel hakuna utamu wowote utaskia ukitumia mkongo ?
 
Total wrong hiyo mechanism haipo na haijawahi tokea since the beginning of universal
 
Baada ya kujipaka na kukaa mda mchache ukijifuta unajifuta na maji ?

Hivi ni kwel hakuna utamu wowote utaskia ukitumia mkongo ?
utamu unapatikana mwishoni kabisa lakini show inapigika kweli kweli
 
Baada ya kujipaka na kukaa mda mchache ukijifuta unajifuta na maji ?

Hivi ni kwel hakuna utamu wowote utaskia ukitumia mkongo ?
Unajifuta hata na maji mzee haina tatizo. Ila kwakua ulipaka kidogo,unaweza futa hata na kitambaa au ukaacha boxer ifute automatic
 
Unajifuta hata na maji mzee haina tatizo. Ila kwakua ulipaka kidogo,unaweza futa hata na kitambaa au ukaacha boxer ifute automatic
Ngoja niitafute kwahyo mzee hapo cha Kwanzaa almost lisaa 1 ?

Hivi kama ndo hvyo Nina dozi ya malaria hii dawa haitaniua kwel ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…