Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama damu haifloooow inakuwaje uume unasimama? ACHA KUTUTISHAKabla sijaendelea, una uhakika siijui Puturu vizuri na ufanyaji kazi wake?
Unajua ganzi ni nini hasa?
Jinsi gani Vumbi la kongo inafanya kazi?
Vumbi la Kongo maarufu Puturu inapakwa au kutiwa katika kichwa cha uume muda mfupi kabla ya kusex. Puturu inachofanya ni kuzuia KABISA bloodflow au mzunguko wa damu kufika katika mishipa ya kichwa cha uume.
Imagine uzuie tu damu kufika katika kidole completely hata kwa nusu saa...sembuse katika uume kwa masaa manne??? Kumbuka uume ni kiungo chenye asili ya kuwa na damu nyingi haswa inaposimama.
Wewe subiri tu miaka michache tu ijayo utasikia madhara yake.
Ngozi ina nervous system ya kivyake au siyo? Kwani unavyoambiwa upake halafu utulie si ili iingie kwenye damu vizuri?Mkuu hujui mechanism of action ya vumbi la congo..
Lile vumbi linatia ganzi ya muda kwenye ngozi ya mashine na wala haliingii kwenye damu kwahio ile permanent effect haipo..
Hebu niweke sawa.Kabla sijaendelea, una uhakika siijui Puturu vizuri na ufanyaji kazi wake?
Unajua ganzi ni nini hasa?
Jinsi gani Vumbi la kongo inafanya kazi?
Vumbi la Kongo maarufu Puturu inapakwa au kutiwa katika kichwa cha uume muda mfupi kabla ya kusex. Puturu inachofanya ni kuzuia KABISA bloodflow au mzunguko wa damu kufika katika mishipa ya kichwa cha uume.
Imagine uzuie tu damu kufika katika kidole completely hata kwa nusu saa...sembuse katika uume kwa masaa manne??? Kumbuka uume ni kiungo chenye asili ya kuwa na damu nyingi haswa inaposimama.
Wewe subiri tu miaka michache tu ijayo utasikia madhara yake.
Nerve zinazosupply ngozi ni tofauti na damu..Ngozi ina nervous system ya kivyake au siyo? Kwani unavyoambiwa upake halafu utulie si ili iingie kwenye damu vizuri?
Mzee unapotea.
Sibishani.Nerve zinazosupply ngozi ni tofauti na damu..
Soma anatomy ya penis plz ndio uje kubishana
Kama haiingii ndani ya ngozi ganzi ingetokea wapi?Mkuu hujui mechanism of action ya vumbi la congo..
Lile vumbi linatia ganzi ya muda kwenye ngozi ya mashine na wala haliingii kwenye damu kwahio ile permanent effect haipo..