Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Nilikua nasoma article moja hivi. Kule Iraq na Afghanistan wamarekani walikua wanapata sana siri za makundi ya kigaidi kutoka kwa watu wa makamo mpaka wazee.

Na kilichosababisha flow y utoaji siri ni malipo ambayo waIraq na waAfghan waliyataka. Wote walikua wanataka Viagra.

Kuwa na mke zaidi ya mmoja ukiachilia mbali gharama za uchumi kupanda na gharama za mwili kutumika hupanda pia, hivyo kwa kuhofia kuaibika wengi waliamua kua mainformer ili walipwe viagra.

Anyway, yeyote anayetumia vumbi, viagra ya namna yeyote ile hawezi kua rafiki yangu.
Mimi kama mwanamke,siku nitakayomwona wa ubani anajiboost kwa haya madude badala ya kupambana na lishe na zoezi nitamshusha nyota zote!
 
Kazi ipo hapo baadae WANAUME WA DAR KAZI MNAYO
Hapo baadae wanaume mtashidwa kusimamisha kabisa mbona zamani wanaume walikuwa hawatumii na walikuwa vzuri, sikuhizi madawa kila corner ila ndo wengi majogoo hayapandi mtungi
 
Yaani nimecheka kinyama aisee,
Nami kuna manzi namvizia kitambi anajaa na kutoka nilitaka siku akijaa mazima nimfanyie umafia sasa kama mambo yenyewe ndo haya dah nitaua aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namuonea sana huruma huyo Mwanamke!
Na alikuwa ana pretend kukuonesha kuwa anafurahia mchezo lakini kiukweli asikudanganye Mtu " nature is ordered buana"
Masaa yote hayo ni wazi kuwa theory of marginal utility ilisha apply mapema sana akabaki kujiliza tu kutaka kujaribu kukuibia tu lakini hamna kitu hapo!
 
Kama ni kweli kilanga kitakuwa kimemuisha Kwa tamaa ya pesa!
Mwisho wa Siku ameliwa Kwa shilingi 20,000/- tu
[emoji14][emoji14][emoji14] jamani?!
 
Amejidhalilisha sana huyo dada!
Vipi amekupigia simu baada ya shughuli ?!
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yaani kwa uchovu wote huo wa wa saa kumi na mbili jioni hadi saa tano usiku umempa elf 20 tuu!!!!!!

Money is not everything but that's not fair.... Japo pia hakuwa anauza.

Anyways am not concerned.
 
Mkuu hujui mechanism of action ya vumbi la congo..
Lile vumbi linatia ganzi ya muda kwenye ngozi ya mashine na wala haliingii kwenye damu kwahio ile permanent effect haipo..
Mkuu sijui kwanini huwa mnajitia ganzi za akili?kila kitu ukikitumia sana basi kuna madhara yake,hizi mashine zetu zina mishipa ambayo inasababisha vyombo vinaenda mnara sasa vumbi la Kongo linachofanya ni kukipiga ganzi kichwa kisipate msisimko huku wewe ukikomaa kusugua hizi hydraulic pipe ambapo unakuta unasugua hata lisaa {sina hakika ndo wasemavyo wanaotumia} so case kama hii hii mishipa inachoka na ikishachoka ndo chombo hakiinuki tena kama alivyosema mdau hapo juu.

Haya madawa siyo mazuri na madhara yake hutayaona leo ila believe me,huko baadae kwa watumiaji hasa vijana mtakuwa na kulia na kusaga meno huku sisi wachache tukiwasaidia ku-balance ndoa zenu!take it from me buddy!
 
Back
Top Bottom