King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Dr Shika Once Again.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wanaokurupuka kuitumia hawajui kama ina madhara. Mie kuna jamaa yangu ni dereva anafahamu madhara yake. Ila bado anakomaa kuitumia kwa kusema yeye kashapata watoto so hana shida hata ikimletea madhara mbeleniKabla sijaendelea, una uhakika siijui Puturu vizuri na ufanyaji kazi wake?
Unajua ganzi ni nini hasa?
Jinsi gani Vumbi la kongo inafanya kazi?
Vumbi la Kongo maarufu Puturu inapakwa au kutiwa katika kichwa cha uume muda mfupi kabla ya kusex. Puturu inachofanya ni kuzuia KABISA bloodflow au mzunguko wa damu kufika katika mishipa ya kichwa cha uume.
Imagine uzuie tu damu kufika katika kidole completely hata kwa nusu saa...sembuse katika uume kwa masaa manne??? Kumbuka uume ni kiungo chenye asili ya kuwa na damu nyingi haswa inaposimama.
Wewe subiri tu miaka michache tu ijayo utasikia madhara yake.
Naunga mkono hojaYaani kwa uchovu wote huo wa wa saa kumi na mbili jioni hadi saa tano usiku umempa elf 20 tuu!!!!!!
Money is not everything but that's not fair.... Japo pia hakuwa anauza.
Anyways am not concerned.
[emoji3][emoji3][emoji3]Google images wapi hii ni SISI TV ya Koloseum Hotel
Hizi booster kuna siku zitaondoka na maisha ya mtu.
Wanataka kunya lbdaKichupa buku 3 wewe hiyo elfu 40 ulinunua kisado ?,utamu wa kunjunjana ni kukojoa nyie msiotaka kukojoa mnataka nini?
atakuwa anataka namba ya dereva wa ubber ili amuagizeNamba ya nani mkuu?
WIZI TU HAPA'Mjina kwani ulikua wapi muda wote, kwanini sikujua mapema nikakukubalia'
Atakua alinunua gunia la vumbiYani umenunua vumbi la congo kwa ef40 halafu demu umempa ef20.?na hapo umepiga bao moja.
Nani kakudanganya walikuwa hawatumii? tena matumizi zamani yalikuwa makubwa kuliko sasa. Machifu na wazee walikuwa wanatumia mizizi maalumu kwa siri kubwa na iliwawezesha kuwahudumia wanawake zaidi ya 10Hapo baadae wanaume mtashidwa kusimamisha kabisa mbona zamani wanaume walikuwa hawatumii na walikuwa vzuri, sikuhizi madawa kila corner ila ndo wengi majogoo hayapandi mtungi