Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Kabla sijaendelea, una uhakika siijui Puturu vizuri na ufanyaji kazi wake?

Unajua ganzi ni nini hasa?

Jinsi gani Vumbi la kongo inafanya kazi?

Vumbi la Kongo maarufu Puturu inapakwa au kutiwa katika kichwa cha uume muda mfupi kabla ya kusex. Puturu inachofanya ni kuzuia KABISA bloodflow au mzunguko wa damu kufika katika mishipa ya kichwa cha uume.

Imagine uzuie tu damu kufika katika kidole completely hata kwa nusu saa...sembuse katika uume kwa masaa manne??? Kumbuka uume ni kiungo chenye asili ya kuwa na damu nyingi haswa inaposimama.

Wewe subiri tu miaka michache tu ijayo utasikia madhara yake.
Wengi wanaokurupuka kuitumia hawajui kama ina madhara. Mie kuna jamaa yangu ni dereva anafahamu madhara yake. Ila bado anakomaa kuitumia kwa kusema yeye kashapata watoto so hana shida hata ikimletea madhara mbeleni
 
Yaani kwa uchovu wote huo wa wa saa kumi na mbili jioni hadi saa tano usiku umempa elf 20 tuu!!!!!!

Money is not everything but that's not fair.... Japo pia hakuwa anauza.

Anyways am not concerned.
Naunga mkono hoja
 
Google images wapi hii ni SISI TV ya Koloseum Hotel
IMG_20181030_230458_405.JPG
Malyn
 
Vumbi fresh kabisa hilo vijana,endeleeni tu.
Ukitaka nakupa bureee.
Ni suala la kukuchitea tu kwnye zoleo,paka hata machoni
IMG_20181031_173604.jpeg
 
Hapo baadae wanaume mtashidwa kusimamisha kabisa mbona zamani wanaume walikuwa hawatumii na walikuwa vzuri, sikuhizi madawa kila corner ila ndo wengi majogoo hayapandi mtungi
Nani kakudanganya walikuwa hawatumii? tena matumizi zamani yalikuwa makubwa kuliko sasa. Machifu na wazee walikuwa wanatumia mizizi maalumu kwa siri kubwa na iliwawezesha kuwahudumia wanawake zaidi ya 10
 
Back
Top Bottom