Chausiku siyo Chamchana
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 379
- 230
Mshikaji alikua na wivu wa kike kuona kidume mwenzake anasifikakwahio uli uza ramani ya vita ili jamaa aonekane hana nguvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshikaji alikua na wivu wa kike kuona kidume mwenzake anasifikakwahio uli uza ramani ya vita ili jamaa aonekane hana nguvu
Ilibidi mkuu maana demu alikua anakuja kulalamika kwangu jamaa anamcheat sana na wakigombana anampiga, wakiachana demu anarudi tena mwenyewe, yaan mshikaji alikua mkorofi balaa, nikamshauri waachane ndio demu akanifungukia kua jamaa yuko vizuri sekta hiyo, ashajaribu kwa wengine hawamridhishi ndio ikabidi nimwambie ukweli maana mshikaji na mm ashanieleza ndio sababu ya demu haja jeuri ya kumuacha, alafu mbaya zaidi hizo dawa alikua akitumia kwa huyo demu tu, aliekua mchumba ake kabisa alietaka kumuoa hatumii.kwahio uli uza ramani ya vita ili jamaa aonekane hana nguvu
Nili li flash kwenye vyoo vya LodgeOkey naliomba hilo vumbi ulilobakiza
Kwa hiyo mkuu kuanzia saa kumi na mbili jioni mpaka saa tano usiku mtoto alikuwa anakubali kusuguliwa tu bila kupumzika?
Hii story diva anaisimulia now..ala za roho clouds fm
Unaonekana mpashukunata ww mmbea mbeaHawajui tu mkuu kwamba wanafanywa na nguvu za nyongeza ndio hao wanaolewa lkn kila kukicha kwa michepuko akihisi mmewe hana nguvu kumbe anachezewa na dawa, kuna jamaa mwingine akienda kwa mchepuko anatumia dawa ila kwa mkewe hatumii ili michepuko waone yuko vizuri kumbe hamna kitu.
Usilolijua mkuu sawa na usiku wa gizaUnaonekana mpashukunata ww mmbea mbea
ExactlyNawashangaa sana badala ya kufanya mazoezi et yanajiuwa kwa puturu...mimi hiyo kitu naisikia tu na wala sitataka kuijaribu maana kama nikumfikisha mtu kileleni namfikisha vizuri tu na vilio juu kwa utamu anaoupata. Nimegundua mazoezi na kuacha kujichua ndo suluhisho pekee la heshima ya ndoa.
Iyo bei walikupiga sana kwa kifupi siyo nzuri mana kma haukuwa makini kwenye kulipaka ata show yenyeweee unaweza usipige ukawa kma msenge mbele ya manzi mana mashineKichupa cha 40000? Mbona uwa vyauzwa 5000 mkuu au ulitaka upewe ubingwa wa kugegeda
Kaka mjini tunakutana na vingi kila kitu ni pesa uku siyo kma uko uliko unakwendaSisi wanaume wa mikoani hatujui hata hilo vumbi la Congo sijui lina rangi au harufu gani lakini kwenye show mpaka binti anaenda kuvalia chupi kwao!
mazoezi siyo tiba ya nguvu za kiumeMimi kama mwanamke,siku nitakayomwona wa ubani anajiboost kwa haya madude badala ya kupambana na lishe na zoezi nitamshusha nyota zote!