Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Hii ndiyo mara yangu ya kwanza na ya mwisho kutumia vumbi la Kongo

Last warning. ..... hizi mambo za vumbi zina faida na starehe kwa kipindi kifupi sana ktk maisha ya ujana. .....
Huko mbele ya safari wengi watajuta , kwa waliaonza kutumia miaka 10 iliyopita kwa sasa ni majuto mjukuu.....

Raha ya mechi bao, usijione bwege kwa kufunga goli mapema hiyo ni human nature, na tumeumbwa hivyo ..... usiufanyie mwili wako majaribio. Vumbi la Congo ni mtishamba uliochanganywa na kemikali ya kichina ili kupiga ganzi uume , haina tofauti na zile ganzi zinazopigwa wakati wa kutoa jino

Narudia kwa mara ya mwisho

Km hujawahi kutumia epuka kabisa. .. km unatumia ' acha mara moja kwani hujachelewa .. ipo siku utajikuta upo too late to the point of no return. ...na hii post bado itakuwepo na utaleta ushuhuda huku ukiwa na majonzi makubwa ndani ya nafsi yako , wakati huo utakuwa umepoteza kabisa meaning of your own life, kwa sababu mtalimbo utakuwa umelala mazima kwa ajili ya negligence.

Humu hatujuani kabisa, lakini ni vyema tuka-share vitu positive na sio kuhamasishana upuuzi.... km unalitumia vumbi kwa mke wako kumbuka siku ukiacha expect unexpected .....

Nothing good come out of Congo. .... lile ni dump or testing ground ya kemikali from Asia na West kwa kiasi kidogo ....mfano hai ni mikorogo ( skin bleaching chemical ) wengi wanatamani kuzirudia ngozi zao asili but it's too late

Wanadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa
Siku njema.
 
kwahio uli uza ramani ya vita ili jamaa aonekane hana nguvu
Ilibidi mkuu maana demu alikua anakuja kulalamika kwangu jamaa anamcheat sana na wakigombana anampiga, wakiachana demu anarudi tena mwenyewe, yaan mshikaji alikua mkorofi balaa, nikamshauri waachane ndio demu akanifungukia kua jamaa yuko vizuri sekta hiyo, ashajaribu kwa wengine hawamridhishi ndio ikabidi nimwambie ukweli maana mshikaji na mm ashanieleza ndio sababu ya demu haja jeuri ya kumuacha, alafu mbaya zaidi hizo dawa alikua akitumia kwa huyo demu tu, aliekua mchumba ake kabisa alietaka kumuoa hatumii.
 
wakuu niko mwanza hiyo kitu nimeiskia sana nina demu kila nisex nae ananiambia umetumia puturi nn kumbe ndo hilo vumbi la kongo? nitalipata wapi kwa hapa mwanza wadau
 
Ukampa 20,000 hadithi ndeeefu ukaishia na 20,000 si Bora usingempa, me wengine sifa nyingi mkono wa birika
 
Kwa hiyo bado upo nae au ulishamtema? Pia demu ni mpenda pesa tu hadi ajue balance yako kwenye akaunt ndo achanue miguu [emoji23][emoji23]
 
Hawajui tu mkuu kwamba wanafanywa na nguvu za nyongeza ndio hao wanaolewa lkn kila kukicha kwa michepuko akihisi mmewe hana nguvu kumbe anachezewa na dawa, kuna jamaa mwingine akienda kwa mchepuko anatumia dawa ila kwa mkewe hatumii ili michepuko waone yuko vizuri kumbe hamna kitu.
Unaonekana mpashukunata ww mmbea mbea
 
Nawashangaa sana badala ya kufanya mazoezi et yanajiuwa kwa puturu...mimi hiyo kitu naisikia tu na wala sitataka kuijaribu maana kama nikumfikisha mtu kileleni namfikisha vizuri tu na vilio juu kwa utamu anaoupata. Nimegundua mazoezi na kuacha kujichua ndo suluhisho pekee la heshima ya ndoa.
Exactly
 
Sisi wanaume wa mikoani hatujui hata hilo vumbi la Congo sijui lina rangi au harufu gani lakini kwenye show mpaka binti anaenda kuvalia chupi kwao!
Kaka mjini tunakutana na vingi kila kitu ni pesa uku siyo kma uko uliko unakwenda
Mimi kama mwanamke,siku nitakayomwona wa ubani anajiboost kwa haya madude badala ya kupambana na lishe na zoezi nitamshusha nyota zote!
mazoezi siyo tiba ya nguvu za kiume
 
Back
Top Bottom