Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa lakini tujiulize kwa nini tanesco imekuwa dudu gumu sana kuliongoza tangia kipindi cha Lowassa na Kikwete? Ni kirusi gani kiliingia ndani ya hilo shirika ambacho hakina dawa wala kinga? Mbona awamu ya tano chini ya Magufuli iliweza kupata formula ya kudhibiti hicho kirusi?1. Mahitaji ya umeme yameongezeka mara 8 zaidi ya awali.
2. Tunahitaji Tri+ kufanya maboresho ya miundombinu ya njia za umeme
3. Hata bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere likikamilika umeme utaendelea kuwa wa mgao kwakuwa shirika litauza nje ili kulipa deni la ujenzi wa bwawa.
TANESCO NI LIDUDE FLAN IVI LIKUBWA, SIO RAHISI KAMA TUNAVYODHANIA, HASA UKIPEWA KULIONGOZA. KUNA MIZIZI NI UNTOUCHABLE.