Hii ndiyo njia sahihi (ya kisayansi) ya kuwaumiza 'haters' wako

Hii ndiyo njia sahihi (ya kisayansi) ya kuwaumiza 'haters' wako

Mi kujibana na maisha yangu siwezi...yani nikiweka kitu changu status kama nimeenda sehemu kali najua hii ni kali mpaka idadi ya viewers iniridhishe ndo naiondoa πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
 
Mi kujibana na maisha yangu siwezi...yani nikiweka kitu changu status kama nimeenda sehemu kali najua hii ni kali mpaka idadi ya viewers iniridhishe ndo naiondoa πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
KWA mdada unaruhusiwa kufanya hivyo
 
Ndo ttzo la mswahili akipata haachi uswahili na anahisi kla mtu atamfundisha uswahilj wake

Ishi maisha hater ndo watu gan hater ndo kitu gan watu mlozaliwa na kukulia uswahilin mkizipataga huwa mnapagawa sana
We hujakulia uswahilini?
 
LIKUD upo sahihi bro ila kwa nilichojifunza mimi ni kuwa msiri kwenye mipango nasio kwenye matumizi yaani ile paap..! Wanastuka nimefanya hiki mara kile bila kujua harakati zangu.
Siwezi kujifichaficha kunywa bia, kuvaa vizuri, kujenga, kununua ndinga kisa haters hapana aisee.
Hahahahaha
 
Back
Top Bottom