Hii ndiyo orodha ya maamuzi ya ovyo kuwahi kufanyika Tanzania

Hii ndiyo orodha ya maamuzi ya ovyo kuwahi kufanyika Tanzania

Spain. Kwenye muungano wao na Catalonia
Catalonia ni sehemu ya Spain, ilichukuliwa kijeshi, hawana Muungano, hawana mkataba, hawana taratibu za Spain kuigawia Catalonia uongozi au hela au ajira. Hawana katiba mbili. Hawana Muungano wa kijinga kama huu wa kwetu.

Tumekang'ang'ania ka Zanzibar, kana nini cha mno zaidi ya kutupa stress na mzigo wa kukitunza hiki Kizanzibar ??????
 
l
Hakuna walevi kama wazanzibar sema wanalewa kwa kujificha hapo unapata tatizo la pili yaani unafiki, nguo gani mnavaa nyie tofauti na kanzu kama wazee wa karne ya 13.
1. Huko kulewa kwa kujficha ndo ustaarabu wenyewe, tofauti na kulewa hadharani na kujikojolea nguoni mtu mzima.

2. Kuvaa kanzu ndo huo ustaarabu wenyewe, tofauti na kutembea uchi. Shukuru kwamba umekwenda Zanzibar ukajua kuna kuvaa kanzu za wazee wa karne ya 13 kule kwengine ilikuwa kutembea uchi au kaptura kama vile unacheza mpira wa mguu.

3. jifunze kuwa na shukrani siku nyingine.
 
Umesahau mengine mengi.
1.Kuharibu elimu yetu kwa kushirikiana na mabeberu.
2.Kuharibu Kilimo kwa kushirikiana na mabeberu kama akina Rockefeller.
3.Kutaifisha mali za watu.
4.Kushirikiana na mabeberu kuharibu mazingira yetu.
4.Kushirikiana na mabeberu kuharibu afya za Watanzania kwa kutumia mbinu mbali mbali.
Kuwapa waarabu eneo loliondo
 
Umesahau mengine mengi.
1.Kuharibu elimu yetu kwa kushirikiana na mabeberu.
2.Kuharibu Kilimo kwa kushirikiana na mabeberu kama akina Rockefeller.
3.Kutaifisha mali za watu.
4.Kushirikiana na mabeberu kuharibu mazingira yetu.
4.Kushirikiana na mabeberu kuharibu afya za Watanzania kwa kutumia mbinu mbali mbali.

Kuwapa waarabu eneo loliondo
Sawa kabisa mkuu,kugawa rasilimali zetu kwa wageni kwa bei ya kutupa.
 
Huduma gani zilirahisishwa? Unajua hata hospitali na zahanati nyingi zimekuja kuanza kujengwa kwenye maeneo mengi kuanzia awamu ya 4 na ya 5?
Sasa si ndio imewezekana kujengwa kwa hizo zahanati katika maeneo yaliyo na watu baada ya kufanikiwa kwa sera za uundwaji wa vijiji hivyo? Vp kama hadi leo watu wangekua scattered kama ilivokua awli? Ingekua tabu kiasi gani kuwafikia watu!
 
Back
Top Bottom