Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si vibaya kujiongezea ufahamu....Wala wasiangalie hadithi na nasaba zisizo na ukomo, ziletazo maswali wala siyo madaraka ya MUNGU yaliyo katika imani.
Weka link nas tupate kucheki
Pamoja mkuuTwashukuru mkuuuu
Dunia ina mengi sana..kama wanadamu kwa macho ya nyama hatuwezi kuona yote ila ipo siku yaliyojificha Mungu atatufunuliaKiti cha Lusifa cha Kuzimu ya Baharini kipo mitaa hiyo.
Ttazi atafunua sdakika 90 za mwisho wa mechi.Dunia ina mengi sana..kama wanadamu kwa macho ya nyama hatuwezi kuona yote ila ipo siku yaliyojificha Mungu atatufunulia
Hapata kalika mkuu maana yasiyo onekana yakioneshwa yanatishaTtazi atafunua sdakika 90 za mwisho wa mechi.
Angetufunulia kwa sasa tuone kabla ya siku ya kiama.
Siku ukitia mguu tu jiandae kuwa supu ya LuciferNatamani nifike ilo eneo ina maana wameshindwa kutegesha mi camera tuone nini kinatokeaga uko
Bado ni theories tu hakuna ushahidiSiku ukitia mguu tu jiandae kuwa supu ya Lucifer
Inaitwaje niisarch maana imenivutiaIngia YouTube kuna documentary yake imefanywa na discovery channel
Ukipata mda ingia YouTube upitie documentary mbalimbali nadhani utapata conceptBado ni theories tu hakuna ushahidi
Ingia YouTube search Bermuda triangleInaitwaje niisarch maana imenivutia
Nielewshe madengeKiti cha Lusifa cha Kuzimu ya Baharini kipo mitaa hiyo.