Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote hayo yanaweza yakawa yanasababishwa na nguvu za kishetaniHilo eneo linaaminika ni sehemu ambayo maji yanazunguka Kwa kasi sana Kwa huko chini kwahio ile nguvu ndo inaleta hayo madhara huko juu kwa meli na ndege
Haya mambo yana siri kubwa ndo maana kila mtu ana majibu yake wakija wataalum ndo wanakujibu kuna force ya maji yanayozunguka akija mtu wa dini anakwambia ni nyumba ya shetaniYote hayo yanaweza yakawa yanasababishwa na nguvu za kishetani
Mkuu kwema aise??Naitafuta documentary ya hilo eneo bila mafanikio
Nitamuuliza babuNadhani NASA wameshakupa sababu kuna nguvu ya usumaku ndio sababu ya kisayansi.
Labda kama unataka sababu kwa mjibu wa conspiracy theories tupo tayari pia ila tegemea majibu mengi na yatakayokuchanganya.
Chagua kuandika lugha moja kama ni Kiswahili au Kiingereza,hii tabia ya kuchanganya changanya waachie wale mabinti wa Bongo Movie.Black hole [emoji23][emoji23][emoji23] u can't be serious brother/sister/mother/father may u plz go find more education on black holes.
How do you relate black holes na kuzama kwa meli kwenye zone ya Bermuda triangle
Guys msijibu things u have no understanding of
A black hole is a region of spacetime exhibiting such strong gravitational effects that nothing—not even particles and electromagnetic radiation such as light—can escape from inside it. Wikipedia
Mtafute Mshana Jr, aliwahi kuiongelea kwenye nyuzi za nyuma, lakini pia "uki-Google" utapata habari zake.Habari wana JF, kwa mwenye uelewa kuhusu BERMUDA TRIANGLE naomba aninyunyizie na mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, nimekumbuka shule ya msingi, Mambo ya Trapeza yalinipiga sana chenga. By the way nilipenda sana Sayansi, Jiografia na Lugha.Triangle ni umbo kama ilivyo Trapeze
Alliens sio vibwengo mkuuNi ngumu kumtenganisha binadamu na ushirikina awe mweupe au mweusi.Hata huku kwetu Afrika Kuna maeneo tunaamini watu na vitu hupotea kimaajabu.
Ndio yaleyale ya vitu huku tukiita vibwengo kule wanaita aliens.Kumbe tofauti technology tu ila ushirikina ni uleule.