Hii ndiyo sababu Watanzania hatuandamani kama Wakenya- tunashirikishwa

Hii ndiyo sababu Watanzania hatuandamani kama Wakenya- tunashirikishwa

Kwa nini mnahangaika wakati jibu sahihi liko hapa: Wakati Kenya asilimia 90 ya wanaohitimu elimu ya msingi wanaenda shule za sekondari, Tanzania ni asilimia 40 tu ya wanaomaliza elimu ya msingi ndio wanaenda sekondari.

Sasa kwenye vyuoo ndiko Tanzania tunapo pigiliwa msumari wa mwisho kama unavyoweza kuona hapa chini 👇
*******************************************
The number of university students among East African countries has continued to increase to stand at about 800,000 today, that is Kenya 546,700 and Tanzania 51,000 students, while Ugandan has 200,000 students.
********************************************
Kwa hali hiyo hapo juu Mtanzania kwa mazingira hayo ya elimu duni aliyonayo hawezi kuandamana kwa sababu anaamini kwamba kuandamana kuipinga serikali ni utovu wa nidhamu kwa hiyo serikali na badala yake ni kuamini kwamba kuitii serikali kwa kila jambo ndio uzalendo kwa nchi yako...!!

Wakati kwa Kenya kwa hayo mazingira ya elimu waliyonayo ni vigumu sana mtu kukubali kuwa chawa wa mtu mwingine na ndio maana upeo wa watu ni mpana sana na wanaamini kabisa kwamba wananchi ndio wanapaswa kuwa mzigo kwa serikali na sio serikali kuwa mzigo kwa wananchi wakati uelewa wa watanzania ni kinyume chake.

Tanzania bado sana na ndio maana rais wa Tanzania hulewa sifa kishenzi wakati wa Kenya yuko kiti 🔥 punde tu uchaguzi unapoisha.

Jomo Kenyatta aliwahi kusema mwaka 1961 kwamba kuongoza Kenya ni sawa na kuongoza mgonjwa MAHUTUTI kwani siku akipona lazima atadai haki yake, ila kuongoza Tanzania ni sawa na kuongoza MAITI, haiwezi kuamka kudai haki yake inasubiri kuzikwa tu.

Haya yanayotokea Kenya leo ni uthibitisho wa kauli hiyo ya marehemu Kenyatta aliyoitoa takriban miaka 63 iliyopita.

Tujitafakari.
 
Bongo hakuna maandamano kama nchi jirani kwa sababu siasa haijafanikiwa kuligawa taifa katika makundi makubwa mawili au zaidi ya watu wa hali ya chini, ambapo kundi moja linapendelewa kuliko lingine kwa maslahi cha kisiasa.

Ukabila ndio unafanya kazi hiyo ya ugawaji na uchonganishi katika nchi jirani.
Wabongo ni wavumilivu, shida Wana Viongozi wasiojitambua ambao hutumia uvumilivu huo vibaya, baadala ya kuleta maendeleo wao Wanautumia vibaya uvumilivu wa watanzania kufanya Ufisadi.
 
mkuu kuanzia kesho Jumapili hadi Jumanne wiki ijayo- soma tena wito wa bunge
Hakuna jipya. Kama walichukua maoni ya sheria ya uchaguzi ila mwisho wa siku wakapitisha mambo yao. CCM Ina dharau Sana, walishafanya nchi Mali yao. Very stupid.
 
Mkuu nenda katoe maoni acha upumbavu
Kwani kwa kutojuwa kwako kwamba Kenya ndio vinara wa kutoa habari kama hizo na wananchi kushiriki ndiyo iwe sababu ya kuja kudanganya watu hapa JF?
 
Kwa nini mnahangaika wakati jibu sahihi liko hapa: Wakati Kenya asilimia 90 ya wanaohitimu elimu ya msingi wanaenda shule za sekondari, Tanzania ni asilimia 40 tu ya wanaomaliza elimu ya msingi ndio wanaenda sekondari.

Sasa kwenye vyuoo ndiko Tanzania tunapo pigiliwa msumari wa mwisho kama unavyoweza kuona hapa chini 👇
*******************************************
The number of university students among East African countries has continued to increase to stand at about 800,000 today, that is Kenya 546,700 and Tanzania 51,000 students, while Ugandan has 200,000 students.
********************************************
Kwa hali hiyo hapo juu Mtanzania kwa mazingira hayo ya elimu duni aliyonayo hawezi kuandamana kwa sababu anaamini kwamba kuandamana kuipinga serikali ni utovu wa nidhamu kwa hiyo serikali na badala yake ni kuamini kwamba kuitii serikali kwa kila jambo ndio uzalendo kwa nchi yako...!!

Wakati kwa Kenya kwa hayo mazingira ya elimu waliyonayo ni vigumu sana mtu kukubali kuwa chawa wa mtu mwingine na ndio maana upeo wa watu ni mpana sana na wanaamini kabisa kwamba wananchi ndio wanapaswa kuwa mzigo kwa serikali na sio serikali kuwa mzigo kwa wananchi wakati uelewa wa watanzania ni kinyume chake.

Tanzania bado sana na ndio maana rais wa Tanzania hulewa sifa kishenzi wakati wa Kenya yuko kiti 🔥 punde tu uchaguzi unapoisha.

Jomo Kenyatta aliwahi kusema mwaka 1961 kwamba kuongoza Kenya ni sawa na kuongoza mgonjwa MAHUTUTI kwani siku akipona lazima atadai haki yake, ila kuongoza Tanzania ni sawa na kuongoza MAITI, haiwezi kuamka kudai haki yake inasubiri kuzikwa tu.

Haya yanayotokea Kenya leo ni uthibitisho wa kauli hiyo ya marehemu Kenyatta aliyoitoa takriban miaka 63 iliyopita.

Tujitafakari.
Wabongo ni wavumilivu, shida Wana Viongozi wasiojitambua ambao hutumia uvumilivu huo vibaya, baadala ya kuleta maendeleo wao Wanautumia vibaya uvumilivu wa watanzania kufanya Ufisadi.
Soma hapo juu, utaelewa kwa nini wanaonekana kuwa wavumilivu.

Mtu anaweza kuonekana mvumilivu kwa sababu opsheni zimemwisha kichwani. Sijui unaelewa?

Kiharakati hiyo inaitwa nidhamu ya woga - kweli unataka kuruka lakini huna hakika kule mbele kukoje.
 
Sisi tuna mwenge wao hawana mwenge ndo utaelewa kwann ccm haiwapendi diaspora Wala uraia pacha
 
Mkuu nenda katoe maoni acha upumbavu
Watu hawaandamani kwakuwa ni waoga, Wala sio kwakuwa wanapewa igizo la kushirikishwa. Unamshirikisha nani wakati watu hata hilo bunge hawafuatilii? Kwa taarifa yako vijana ambao ndio wenye nguvu ya kuandamana wamepuuza huo ushirikishwaji wa kisanii.
 
Usikatae wito kataa neno
Hakuna mwanaume anayesimamisha vizuri ataenda kupoteza muda wake kwenye igizo liitwalo kushirikishwa, huku mkiwa na maamuzi tayari. Lipeni watu wajitokeze kisha muwapige picha kuonyesha watu wamejitokeza kutoa maoni.
 
Majirani hawajieliwi sisi hatuna haja ya kuandamana. Kwa za uchumi wetu upo vizuri na maisha yetu yapo vizuri kuliko wao na tuna wasomi wengi. Tuna viongozi werevu na wazalendo kuliko huko na wametulitea maendeleo ndiyo maana kwa Afrika mashariki na Kati sisi ndiyo namba moja kiuchumi.
 
Back
Top Bottom