Hii ndiyo sababu Watanzania hatuandamani kama Wakenya- tunashirikishwa

Hii ndiyo sababu Watanzania hatuandamani kama Wakenya- tunashirikishwa

Majirani hawajieliwi sisi hatuna haja ya kuandamana. Kwa za uchumi wetu upo vizuri na maisha yetu yapo vizuri kuliko wao na tuna wasomi wengi. Tuna viongozi werevu na wazalendo kuliko huko na wametulitea maendeleo ndiyo maana kwa Afrika mashariki na Kati sisi ndiyo namba moja kiuchumi.
Lucas mwashambwa hawezi kukuelewa
 
Back
Top Bottom