Hii ndiyo sababu ya matajiri kuwa na watoto wachache

Hii ndiyo sababu ya matajiri kuwa na watoto wachache

Akili za kimaskini hizi. Kama mtoto mmoja ni mil 54 je vipi wale wazee wetu waliozaa watoto 10 na maisha yakaenda.

Matajiri wengi wako busy ndiyo sababu ya kuwa na familia ndogo siyo kwamba hawawezi kuhudumia.
Kwanza Tajiri gani mwenye familia ndogo..?

Labda tuseme wana watoto wachache wa ndani ya ndoa!
 
Akili za kimaskini hizi. Kama mtoto mmoja ni mil 54 je vipi wale wazee wetu waliozaa watoto 10 na maisha yakaenda.

Matajiri wengi wako busy ndiyo sababu ya kuwa na familia ndogo siyo kwamba hawawezi kuhudumia.
Kwahiyo wewe hapo ulipo ni mzee wetu????

Jaribu leo kuzaa watoto hao 10 na uhakikishe wanapata malezi bora...Elimu bora na Kesho bora..

Huwezi kupingana na namba na hesabu...

Kinyume chake sema unataka ww kuwa unazaa na watajilea wenyewe...

Na wakijilea wenyewe katika dunia ya sasa ya kidigitali...

Watakua katika namna ambayo dunia haita furahia..

Na kwani kuna ulazima wowote wa kufanya hivyoooo...

Kwanini uzao wako ukutoe jasho...Haahahahaha

Unawazaaa harafu wanakutesa mwenyewe...but why Bro???!!!
 
Kila mtoto anakuja na baraka zake....Kitaaluma hiyo ni BETTING...

Kanuni hizi ndio huzalisha makahaba na vibaka...!

Binadamu waliokosa msingi wa malezi na kesho yao,ikiaminika watakuja kujitafutia wenyewe....!
Nimetumia neno rahisi ili ieleweke.

Wazee wetu hadi wanakufa walikuwa kwenye nyumba za tembe, lakini tumesoma na kukua hadi sasa tunajenga nyumba za bati, kununua usafiri wa kutembelea na kusomesha watoto wetu.

Kama ukifanikiwa kuwalea watoto wako Kikoloni kama Wazee wetu, nakukuhakikishia hakuna mtoto atafeli maisha.

Mimi nilijenga nyumba yangu ya udongo ya chumba moja na sebule nikiwa na miaka 16

Nguvu kazi kwamaana ya watu ndiyo nguvu ya Uchumi wa Nchi yeyote, wewe unataka kila familia izae mtoto mmoja then hivyo viwanda vyetu, mashamba na mifugo yetu vitasimamiwa na nani?
 
Nimetumia neno rahisi ili ieleweke.

Wazee wetu hadi wanakufa walikuwa kwenye nyumba za tembe, lakini tumesoma na kukua hadi sasa tunajenga nyumba za bati, kununua usafiri wa kutembelea na kusomesha watoto wetu.

Kama ukifanikiwa kuwalea watoto wako Kikoloni kama Wazee wetu, nakukuhakikishia hakuna mtoto atafeli maisha.

Mimi nilijenga nyumba yangu ya udongo ya chumba moja na sebule nikiwa na miaka 16

Nguvu kazi kwamaana ya watu ndiyo nguvu ya Uchumi wa Nchi yeyote, wewe unataka kila familia izae mtoto mmoja then hivyo viwanda vyetu, mashamba na mifugo yetu vitasimamiwa na nani?
Sawa tumezaa wengi...Jiulize hio idadi ya watu wengi ambao kwa sasa hawana ajira wataajiriwa na nani....

Viwanda vimejaa,ofisi zimejaaa

Utamlaumu nani...???
 
UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.

Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.

Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.

Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.

Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.

Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.

Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.

Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.

Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Mimi nachagua kuzaa watoto wengi wanilee uzeeni wewe wekeza benk
 
3 women 10 Children. Familia ya Tajiri namba 1 duniani huyo Elon Musk. Piga mashine fala wewe, usiwe kama mpwayungu.
1692180766543.jpeg
 
Utajiri ni kipaji kuzaa mtoto 1 au wengi au kuishi bila familia sio kigezo cha kuwa tajiri unaweza kuwa na watoto kama timu ya simba lakini utajiri ukakuijia tu wengi miaka hii hawazai kabisa au wakizaa ni mtoto 1 au 2 ajabu wanashida mpaka sura zao zinaonyesha walivio choka
Sasa kama mtu ana watoto 2 ila ana shida, vp kama angekuwa nao 6? Hauoni kama anawaleta kwenye dhiki??
 
3 women 10 Children. Familia ya Tajiri namba 1 duniani huyo Elon Musk. Piga mashine fala wewe, usiwe kama mpwayungu.View attachment 2718879
Kipato chake sawa na chako???

Mwambie MUSK aache ufala kwa hela zake ilibidi awe na watoto si chini ya 1,000 ...

MUSK kua na watoto 10 kwa pesa zake ni ubahili wa kutisha...

Kwa akili zetu maskini kwa idadi ya watoto wake na utajiri alio kua nao natangaza rasmi MUSK ni mbinafsi namba moja Duniani...

Kuna watu bongo wana mshahara wa milioni moja ma wana watoto si chini ya 10...

Mwambie Musk aache ujinga apige Mashine...

Watoto 10 kwake ni dharau!!!?Tunatarajia kusikia ana watoto 1000 au 10,000 kwa kipato chake.....!

Mwambie MUSK aache uzungu apige MASHINE!
 
Hivi kumbe hiyo hua ni kweli[emoji2]....kwamba mwanamke ndo anabeba baraka za familia au ni nadharia tu[emoji848]
Ndo hivyo kama umeoa li mwanamke lina kimavi halafu linakutia stress unazani utatoboa,
 
Back
Top Bottom