Bila shaka wewe unae mtoto 1 au 2 taja unamiliki nini katika mali kuliko wanye watoto 6?
Mgawanyo wa matumizi hutegeme Kipato kilichopo
Ni kiwa na maana kama vipato vinatofautiana ni sahihi pia matumizi yatofautiane...
Jambo la msingi hapa ni uwiano wa mapato yako na matumizi na akiba yako ya uzeeni.
Kua na watoto 6 si idadi kubwa au idadi ndogo
Inategemeana na kipato chako...
Kuna mwingine mtoto mmoja tu ni mzigo ndo maana kuna wengine wanatupa watoto na kuna mwingine watoto 10 si kitu kwake...
Msingi wa hoja hii ni kutambua binadamu anapozaliwa ni gharama katika kukua kwake hadi kujitegemea...
Gharama hizi ni Juu ya nanniiiiiii?
Ni yule aliye mleta duniani...
Sasa kama ukileta binadamu wengi duniani na ukashindwa kuwatunza na kuwahudumia kwa misingi husika fahamu kua wewe umemkosea Mungu na dunia yenyewe na huyo mwanao...
Kwa kifupi ifahamike maana ya idadi ya watoto wachache au wengi inategemeana na vile mzazi unavyoweza kuwahudumia kimsingi na wewe ukabaki na akiba yako ya uzeeni....
FULL STOP.