Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli jamaa anavyosema kuwa matajiri wanawagharamia sana watoto wao , kwa chakula,kiafya kimasomo, mf. Mtu anapelekwa nje kusoma , akirudi anapewa hela ya kufungua biashara kweliHoja ni ipi sasa?
Hii kauli yako inamaana kubwa unaweza fungua kitabu kuielezea kama ukiitafikiri ndio haswa wanachofanya maskini that why kila siku kuanzia yeye hadi kiazazi wanakuwa maskiniMaskini wanabeti maisha!
Bonge la pointsMatajiri wengi wanaoa wanawake wasomi, wenye ajira au serious business kwa hiyo lazma wawekewe muda flani kwa sababu mwanamke nae ana ndoto za kuzitimiza au yupo busy na ratiba za kazi kiasi hawezi kupata maternity leave kila mara.
Kwa maskini ni rahisi kwa sababu wengi wanaoa wanawake wasio na kazi au wanafanya shughuli ndogondogo ambazo haziwahitaji likizo wala kuathiriwa na ujauzito
Unajidanganya huko kwawarabu mambo yakuoa wake wa 4 wala hawaya entertain ila masheikh wahuku pangu pakavu ndo balaaIdadi ya watoto haina mahusiano yeyote na kipato cha mtu. Ni maamuzi ya mtu binafsi.
Waarabu wana pesa mpaka hawajui cha kuzifanyia na unakuta mwamba mmoja ana wake 4 na kila mke ana watoto wasiopungua 5 na maisha ya kula bata yanaendelea kwa kila uzao.
Swala la idadi ya watoto lipo kitamaduni zaidi kuliko kiuchumi. Wazungu ni utamaduni wao kuwa na watoto wachache hakuna mahusiano na hali zao za kifedha.
We una wangapi boss?Ila watoto huja na baraka bhana,,,, chamsingi uzae kwa mpango sio kukurupuka
Hiyo bajeti ya Sh 5000 kwa siku kwa kila mtoto wewe umekuwa Bakressa? Usitutishe mkuu.UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.
Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.
Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.
Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.
Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.
Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.
Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.
Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.
Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Ila Elon Musk, tajiri no 1, anao watoto 10 km sijakosea.Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii
In sha Allah kheriSio sheria ila ni kawaida
Na wewe rudia comment yangu uelewe wazungu wameingiaje.Oya hajataja wazungu embu ludia uzi ndo uccomenti
Sababu sikuiona.UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.
Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.
Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.
Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.
Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.
Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.
Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.
Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.
Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Na kama akiamua kuzaa kulingana na uwezo wake wa kiuchumi atazaa wangapi?Ila Elon Musk, tajiri no 1, anao watoto 10 km sijakosea.
Hahaaa....Masikini endeleeni kuzaa tupate makahaba wa kununua
Ntasumbua hisa zangu benk!We usiyetaka kuzaa watoto wengi usije Kuja wasumbua watoto wa wenzako utakapozeeka.