Hii ndiyo sababu ya matajiri kuwa na watoto wachache

Hii ndiyo sababu ya matajiri kuwa na watoto wachache

We usiyetaka kuzaa watoto wengi usije Kuja wasumbua watoto wa wenzako utakapozeeka.
 
Unakuta jitu lina maisha magumu kula kwenyewe kwa shida ila yeye kazi kuzalisha tu .

Halafu wana msemo wao mmoja wanasema "kila mtoto anakuja na baraka yake"

Huwa nawashangaa sana watu wa hivi
 
Matajiri wengi wanaoa wanawake wasomi, wenye ajira au serious business kwa hiyo lazma wawekewe muda flani kwa sababu mwanamke nae ana ndoto za kuzitimiza au yupo busy na ratiba za kazi kiasi hawezi kupata maternity leave kila mara.

Kwa maskini ni rahisi kwa sababu wengi wanaoa wanawake wasio na kazi au wanafanya shughuli ndogondogo ambazo haziwahitaji likizo wala kuathiriwa na ujauzito
Bonge la points
 
Idadi ya watoto haina mahusiano yeyote na kipato cha mtu. Ni maamuzi ya mtu binafsi.

Waarabu wana pesa mpaka hawajui cha kuzifanyia na unakuta mwamba mmoja ana wake 4 na kila mke ana watoto wasiopungua 5 na maisha ya kula bata yanaendelea kwa kila uzao.

Swala la idadi ya watoto lipo kitamaduni zaidi kuliko kiuchumi. Wazungu ni utamaduni wao kuwa na watoto wachache hakuna mahusiano na hali zao za kifedha.
Unajidanganya huko kwawarabu mambo yakuoa wake wa 4 wala hawaya entertain ila masheikh wahuku pangu pakavu ndo balaa
 
Basi Mzee wangu alikuwa Tajiri sana watoto 17
 
Masikini endeleeni kuzaa tupate makahaba wa kununua
 
UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.

Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.

Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.

Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.

Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.

Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.

Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.

Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.

Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Hiyo bajeti ya Sh 5000 kwa siku kwa kila mtoto wewe umekuwa Bakressa? Usitutishe mkuu.
 
Bora zaidi kuzaa idadi utakayoimudu vizuri...mambo ya kuzaa yapo kimtazamo zaid.
 
Oya hajataja wazungu embu ludia uzi ndo uccomenti
Na wewe rudia comment yangu uelewe wazungu wameingiaje.

Nimeweka wazungu kussuport point yangu ya utamaduni na idadi ya watoto.

Ila una haki ya kuelewa ulichoelewa na si jukumu langu kukuelewesha kilichomaanishwa.
 
Baadhi ya koo zitafutika siku moja kwani hata hao wachache wengi ni wanawake na wanaume baadhi wanadondokea ushoga na ufala wa kutotaka kuoa.Zaa watoto wengi usije ukajuta mbeleni
 
UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.

Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.

Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.

Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.

Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.

Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.

Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.

Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.

Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Sababu sikuiona.
 
Back
Top Bottom