Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah ndoa tena[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Haipendezi,, tafuta mwingine mzae wapili na watatu halafu ndo utulie kutafuta ndoa[emoji2][emoji2]
Absolutely mkuu[emoji106]!!!Hapo ndio umesema so u wingi au uchache wa watoto inategemea mtu na mtu na kopo lake la asali
Si tulisha kubaliana ndoa ni utapeli!!!Haipendezi,, tafuta mwingine mzae wapili na watatu halafu ndo utulie kutafuta ndoa[emoji2][emoji2]
Kazi yake kupekecha moto...hahaha tatizo moto ukiwaka na fire wakiwa mbali ndo shida inaanzia hapo...hahaahha....Masikin ana muda mwingi wa kukaa na mke ...
Tajiri mchaka mchaka Kila siku
Masikin starehe yake kubwa ni ngono..
Mtu ameoa 25 years old huyo hawez kuwa tajiri labda ameridhi au kipaji
Masikin mke ndio kipaumbele cha Kwanza sio hivyo kwa tajir
Je!? Mshahara wako au mapato yako hua unahesabia???!... au unajua unapokea kiasi gani??!...Nyie ndo Wale mnaohesabugi adi eti Kwa mwaka nimekula sijui gunia ngapi za mahindi sijui contena ngapi za mchele use less fact
WatatuKwani watoto wengi wanaanzia wangapi jamani.
Tukupe dunia leo utaweza kuilea mkuu[emoji23]Kwenu mmezaliwa watoto wangapi??
"ENENDENI NA MKAIJAZE DUNIA"
Ooh! Sawa Mkuu.Watatu
Kwa ww unawangp mkuu ?Ooh! Sawa Mkuu.
Hahahaaa! Lol.Kwa ww unawangp mkuu ?
Hiyo katika factor za kidunia na maisha tunaita BETTING,hivyo kuna probability within....Ila watoto huja na baraka bhana,,,, chamsingi uzae kwa mpango sio kukurupuka
Hahaha andaa na kitochi cha kuja kuwapiga mizinga baadae....hahahahaMimi na fyatu tu.Washafika wanne.Bado wa uzeeni.View attachment 2718134
Tuone kama utakua tajiri ama laa[emoji1]Hahahaaa! Lol.
Sio sheria ila ni kawaidaKwa sheria ya wapi? Kwa kufuata formula ipi? Wakizidi 4 unakuwa umevunja sheria?
Na wewe ni team kataa ndoa kumbe 😃😃Hahahah ndoa tena[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Basi sawa 😃😃🙌Si tulisha kubaliana ndoa ni utapeli!!!
Najaribu kuwa kwenye hiyo timu lakni sio kivile[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na wewe ni team kataa ndoa kumbe [emoji2][emoji2]