Hii ndiyo sababu ya matajiri kuwa na watoto wachache

Hii ndiyo sababu ya matajiri kuwa na watoto wachache

Vinginevyo Dunia ingeshuhudia wale wasiooa/kuolewa wangekuwa matajiri zaidi kuliko waliooa/kuolewa na hawana watoto. Na wale waliooa/kuolewa na wakawa na mtoto mmoja au wachache wangekuwa matajiri zaidi kuliko wenye watoto wengi. Binafsi nina watoto wengi na ninaishi vizuri kuliko baadhi ya watu wasiooa/kuolewa kabisa na hata wale wenye watoto kidogo pia. Utajiri umebebwa na mapambano yako wewe mwenyewe.
Kweli kabisa mkuuu. Utajiri unatokana naapambano yako apa duniani
 
Maskini wanazaa watoto wengi kwa sababu zifuatazo
1.Kujifariji watoto wapate kumfariji kwakuwa yeye hana kipato
2.Watoto wapate kuja kumsaidia baba au mama badae
3.Ufinyu wa akili maana wengi wanakuwa hawawezi kuwasaidia wanazaa watoto wengi wanashindwa kuwatunza sana sana wanazalisha wezi makahaba yatima panya road
4.Maskini hana hela asilimia kubwa hio ndio starehe yake inapeleka mimba kila mara
Kiufupi umasikini ni mzigo na laaana
 
Kweli kabisa mkuuu. Utajiri unatokana naapambano yako apa duniani
Vipi kama unapambana kwa watoto 10 harafu unazaa 11??

Huoni kama tayari umefeli japo unatoa jasho sana?!!!
 
Maskini wanazaa watoto wengi kwa sababu zifuatazo
1.Kujifariji watoto wapate kumfariji kwakuwa yeye hana kipato
2.Watoto wapate kuja kumsaidia baba au mama badae
3.Ufinyu wa akili maana wengi wanakuwa hawawezi kuwasaidia wanazaa watoto wengi wanashindwa kuwatunza sana sana wanazalisha wezi makahaba yatima panya road
4.Maskini hana hela asilimia kubwa hio ndio starehe yake inapeleka mimba kila mara
Kiufupi umasikini ni mzigo na laaana
Maskini wanabeti maisha!
 
UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.

Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.

Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.

Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.

Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.

Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.

Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.

Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.

Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Hivi una bilioni ngapi vile?
 
Maskini wanazaa watoto wengi kwa sababu zifuatazo
1.Kujifariji watoto wapate kumfariji kwakuwa yeye hana kipato
2.Watoto wapate kuja kumsaidia baba au mama badae
3.Ufinyu wa akili maana wengi wanakuwa hawawezi kuwasaidia wanazaa watoto wengi wanashindwa kuwatunza sana sana wanazalisha wezi makahaba yatima panya road
4.Maskini hana hela asilimia kubwa hio ndio starehe yake inapeleka mimba kila mara
Kiufupi umasikini ni mzigo na laaana
Matajiri wengi wanaoa wanawake wasomi, wenye ajira au serious business kwa hiyo lazma wawekewe muda flani kwa sababu mwanamke nae ana ndoto za kuzitimiza au yupo busy na ratiba za kazi kiasi hawezi kupata maternity leave kila mara.

Kwa maskini ni rahisi kwa sababu wengi wanaoa wanawake wasio na kazi au wanafanya shughuli ndogondogo ambazo haziwahitaji likizo wala kuathiriwa na ujauzito
 
Matajiri wengi wanaoa wanawake wasomi, wenye ajira au serious business kwa hiyo lazma wawekewe muda flani kwa sababu mwanamke nae ana ndoto za kuzitimiza au yupo busy na ratiba za kazi kiasi hawezi kupata maternity leave kila mara.

Kwa maskini ni rahisi kwa sababu wengi wanaoa wanawake wasio na kazi au wanafanya shughuli ndogondogo ambazo haziwahitaji likizo wala kuathiriwa na ujauzito
Hiyo ni sahihi...lakini unarudi katika hoja Je mtoto ana affect kipato na sustainability ya kiuchumi ya familia au la?

Hapa sababu sio kwanini mtu anapata watoto wengi...Hoja ni vile idadi ya watoto inavyoweza ku-gharimu kipato chako!
 
Hiyo ni sahihi...lakini unarudi katika hoja Je mtoto ana affect kipato na sustainability ya kiuchumi ya familia au la?

Hapa sababu sio kwanini mtu anapata watoto wengi...Hoja ni vile idadi ya watoto inavyoweza ku-gharimu kipato chako!
Sasa mkuu tajiri kama tajiri, labda akose muda wa malezi Ila sio kipato. Na kwa Tanzania hii unakuta mwenye uwezo anasomesha na kuwatunza watoto wa ukoo mzima ndio itakuwa ashindwe kula familia mwenyewe

Ulichokiongea kikubwa hususani kwa middle income earners, kuwa na watoto wengi lazma iathiri kipato cha familia na Quality ya malezi mtoto anayopata. Mfano familia inaweza kuwa na uwezo wa kusomesha watoto wanne, international schools Ila kwa sababu wamezaa tisa itabidi wasome kayumba. And mind you katika situations kama hizi hata savings zinakuwa ni mtihani. Kwa hiyo athari za familia kubwa zinawakumba middle income earners Ila sio matajiri
 
Back
Top Bottom