Hii ndiyo sababu ya matajiri kuwa na watoto wachache

Hii ndiyo sababu ya matajiri kuwa na watoto wachache

Mbona kuna maskini matasa hawajazaa ila bado maskini akuna ajuae sili ya mafanikio ya mtu na kl mtu anafanikiwa kwanjia zake

Ni sawa sawa na akuna ajuae sili yakuishi umri mrefu ni bas tu tunabahatisha na wengne tunajifanya makocha tunajua ila ukwel akuna ajuae sili yakuishi miaka ming

So komaa pambana wacha polojo na longolongo zisizo na maana
Labda wangezaa wangekua makini zaidi yahapo

Unajua kwanini maisha ni mahitaji na mahitaji ni namba na kama ni namba basi hizo namba ni pesa na kama ni pesa zinatakiwa zitumike..na kama zitatumika zitaisha

ili kuokoa zisiishe hakikisha una balance equilibrium![emoji23]
 
Waarabu wana pesa mpaka hawajui cha kuzifanyia na unakuta mwamba mmoja ana wake 4 na kila mke ana watoto wasiopungua 5 na maisha ya kula bata yanaendelea kwa kila uzao.
Mimi sijakaa uarabuni lakini kwa warabu wa hapa Tanzania nitajie watano matajiri wenye wake zaidi ya mmoja.
Asantem
 
Elon Musk unajua ana watoto wangapi
Na unajua ana Equilibrium ya mapato kiasi gani?![emoji23][emoji23][emoji23] kulinganisha mapato na matumizi per LIFE TIME?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unajua Musk ana weza kutunza watoto wangapi akiamua hata bila kuteteleka na kua dependant?!


Na ni hiviii....take a NOTE mkuu...mimi sijataja idadi ya watoto...ila unaweza kuwatunza kwa idadi upendayo kulingana na uwezo wako...hii ikiwa na maana hata ukiwa na watoto 1000...na una uwezo nao hao bado ni wachacheeee kwako....

Kikubwa ukija kuzeeka unakua bado una uwezo wa ukajitunza wewe mwenyewe bila kua na kisimu cha tochi kuwasumbua wanao...[emoji4]
 
Hii sio kweli kwa 100% .
Familia nyingi tu zenye ugumba au uzazi wa taabu zinakula msoto wa maisha
Tuwekee factors zingine
 
Msoto wao ungezidi endapo wangeongeza factor inayonyang'anya hata kile kidogo walichonacho....
Ndo mana kuna watu wanatupa watoto sababu wanajua mtoto anakuja kunyang'anga hata kile kidogo alichonacho....

Mtoto ni factor of negative katika kukua kwake...

Na unegative wake si wa hiari ni wa Kimungu ,Kitaifa na kibinadamu....
 
Ndo mana kuna watu wanatupa watoto sababu wanajua mtoto anakuja kunyang'anga hata kile kidogo alichonacho....

Mtoto ni factor of negative katika kukua kwake...

Na unegative wake si wa hiari ni wa Kimungu ,Kitaifa na kibinadamu....
Unegative huo ndio Uhakika wake,na wadunia yake kesho...

Kama mzazi itakulazimu kumlea na kuhakikisha ana bright future

kumutelekeza ni kuiasi Dunia,taifa na wewe mwenyewe...

So unavyoleta mtoto duniani jua kuwa hicho kiumbe ni kwa ajili ya dunia,and God for future light!
 
Back
Top Bottom