kibangubangu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2018
- 272
- 353
- Thread starter
- #81
[emoji23]Mkuu waafrika wana laana.
Wana zaana kama kumbikumbi.
Halafu kuhudumia watoto wanashindwa.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Mkuu waafrika wana laana.
Wana zaana kama kumbikumbi.
Halafu kuhudumia watoto wanashindwa.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
tunataka kuwa matajiri mamilo[emoji1787]Watu mna kazi[emoji2]
Hapo utaangalia sasa[emoji23]....nitawaleaje??? .....au ndo nabeti uzee wangu[emoji23]!
Wangekua wengi sana kwa staili hiyo 😃😃😃Kunataka kuwa matajiri mamilo[emoji1787]
Sasa hyo 5000 kwa kila mtoto unaweza kuiwekeza?UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.
Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.
Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.
Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.
Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.
Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.
Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.
Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.
Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Ahaa hapo sawa. Nikajua sie wenye zaidi tushakiuka mipaka iliowekwa.Labda kwa kipato chake....ana uhakika atawasomesha na kuwapa maisha bila yeye kuathiri kesho yake...!
Maisha ya sasa yana gharama kubwa ukitaka kuishi kwa sonona kuwa na watoto wengi then ulale usku eti unapumzika , lazima upigwe na kitu kizito[emoji51]Wangekua wengi sana kwa staili hiyo [emoji2][emoji2][emoji2]
Ila watoto huja na baraka bhana,,,, chamsingi uzae kwa mpango sio kukurupukaMaisha ya sasa yana gharama kubwa ukitaka kuishi kwa sonona kuwa na watoto wengi then ulale usku eti unapumzika , lazima upigwe na kitu kizito[emoji51]
Huyo nae changamoto sasa😃Hapa kitaa kuna Raia anawatoto 14 wote amepeleka Kwa ndugu mbalimbali ili awalee 🙂
Duu nakabinti kangu kamoja naishi nacho mama yake anakula bia nakupanda juu ya meza kitambaa cheupe [emoji1787][emoji1787] looooh apana asee.Ila watoto huja na baraka bhana,,,, chamsingi uzae kwa mpango sio kukurupuka
Hapo ndio umesema so u wingi au uchache wa watoto inategemea mtu na mtu na kopo lake la asaliKwa hoja yako inaonyesha hesabu inakizi vigezo vya kujimudu, hii ikiwa na maana uwezo wako ni mkubwa unaweza kulea na kuendesha maisha yako bila kuteteleka mbeleni.
Maisha ni namba malezi ni namba watoto ni namba na namba moja ikizidi kuliko nyingine hasa namba hasi inaweza kuathiri mfumo
Kwa hivyo basi idadi sio mbili au tatu idadi sahihi ni ile ambayo HASI (-) haizidi CHANYA (+)...Through out....
Kama utaweza ku-maintain kopo la asali lisiishe dhidi ya walambaji na ukaweza kujitegemea mwishoni bado huja zidisha.
Hiyo kwa hapa INPUT must be greater than OUTPUT consistently[emoji23]
Pole sana aisee,, lakini uwepo wake ni faraja kwako au nasema uongoDuu nakabinti kangu kamoja naishi nacho mama yake anakula bia nakupanda juu ya meza kitambaa cheupe [emoji1787][emoji1787] looooh apana asee.
Kamoja kanatosha labda miaka 10 tena.Pole sana aisee,, lakini uwepo wake ni faraja kwako au nasema uongo
Haipendezi,, tafuta mwingine mzae wapili na watatu halafu ndo utulie kutafuta ndoa😃😃Kamoja kanatosha labda miaka 10 tena.