Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
kuna ukweli hapa😌Hiyo katika factor za kidunia na maisha tunaita BETTING,hivyo kuna probability within....
Na kama kuna probability the outcome never been garanteed!
Usije kuwalaumu baadae...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna ukweli hapa😌Hiyo katika factor za kidunia na maisha tunaita BETTING,hivyo kuna probability within....
Na kama kuna probability the outcome never been garanteed!
Usije kuwalaumu baadae...
Basi endelea kusubiri wakati wako😊Najaribu kuwa kwenye hiyo timu lakni sio kivile[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aya ngoja tuoneBasi endelea kusubiri wakati wako[emoji4]
Yeah ☺️Aya ngoja tuone
Hayo ulioyaandika hapo sio sababu za tajiri kuwa na watoto wachache hiyo hesabu ulioiweka hapo hinahusu mtu mwenye uwezo mdogoUNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.
Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.
Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.
Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.
Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.
Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.
Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.
Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.
Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Ni kiasi gani dunia inapoteza katika kutekeleza familly planning kwa ukuaji wa uchumi wa watu binafsi na dunia...?Hayo ulioyaandika hapo sio sababu za tajiri kuwa na watoto wachache hiyo hesabu ulioiweka hapo hinahusu mtu mwenye uwezo mdogo
Oya hajataja wazungu embu ludia uzi ndo uccomentiIdadi ya watoto haina mahusiano yeyote na kipato cha mtu. Ni maamuzi ya mtu binafsi.
Waarabu wana pesa mpaka hawajui cha kuzifanyia na unakuta mwamba mmoja ana wake 4 na kila mke ana watoto wasiopungua 5 na maisha ya kula bata yanaendelea kwa kila uzao.
Swala la idadi ya watoto lipo kitamaduni zaidi kuliko kiuchumi. Wazungu ni utamaduni wao kuwa na watoto wachache hakuna mahusiano na hali zao za kifedha.
Kama hesabu yako ndiyo hiyo bill gate angekua na watoto wangapi?UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.
Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.
Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.
Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.
Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.
Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.
Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.
Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.
Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Hongera sana kaka. Wewe ni genius.UNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.
Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.
Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.
Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.
Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.
Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.
Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.
Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.
Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Maisha yalienda vp kaka, wakati watu walikuwa wanaishi katika dhiki na kuvaa nguo za kutoboka toboka?? Sasa yale ni maisha ama ni jehanamu??vipi wale wazee wetu waliozaa watoto 10 na maisha yakaenda.
Mmoja au wawili tu baaasKwa dunia ya sasa bora uzae watoto wachache ambao utaweza kuwatunza!
Acha kujifariji mkuu. Zaa watoto wachache ili upate akiba ya kuwasaidia wale wasio na baba wala mama. Alafu kumbuka world resources are so limited lakini idadi ya watu inaongezeka kila uchao.Vinginevyo Dunia ingeshuhudia wale wasiooa/kuolewa wangekuwa matajiri zaidi kuliko waliooa/kuolewa na hawana watoto. Na wale waliooa/kuolewa na wakawa na mtoto mmoja au wachache wangekuwa matajiri zaidi kuliko wenye watoto wengi. Binafsi nina watoto wengi na ninaishi vizuri kuliko baadhi ya watu wasiooa/kuolewa kabisa na hata wale wenye watoto kidogo pia. Utajiri umebebwa na mapambano yako wewe mwenyewe.
Upo sahihi kwa namna fulani, lakini on the other side of the coin, ukubwa wa familia ni lazima uzingatie kipato cha wazazi/walezi.Idadi ya watoto haina mahusiano yeyote na kipato cha mtu. Ni maamuzi ya mtu binafsi.
Waarabu wana pesa mpaka hawajui cha kuzifanyia na unakuta mwamba mmoja ana wake 4 na kila mke ana watoto wasiopungua 5 na maisha ya kula bata yanaendelea kwa kila uzao.
Swala la idadi ya watoto lipo kitamaduni zaidi kuliko kiuchumi. Wazungu ni utamaduni wao kuwa na watoto wachache hakuna mahusiano na hali zao za kifedha.
Muone huyu naye Tatizo lako wewe umekariri Maisha mazuri ni kuwa na pesa peke yake.Maisha yalienda vp kaka, wakati watu walikuwa wanaishi katika dhiki na kuvaa nguo za kutoboka toboka?? Sasa yale ni maisha ama ni jehanamu??
Sio hoja umetoaAkili za kimaskini hizi. Kama mtoto mmoja ni mil 54 je vipi wale wazee wetu waliozaa watoto 10 na maisha yakaenda.
Matajiri wengi wako busy ndiyo sababu ya kuwa na familia ndogo siyo kwamba hawawezi kuhudumia.
Hoja ni ipi sasa?Sio hoja umetoa
starehe pekee ya masikini ni dunye tena kwa mke huyohuyo,sasa kwanini asi zae kama simbilisi,Tajiri mitikasi tofauti anabadili kama anapenda dunye,japo wengi hawanamuda na dunyeUNAPO SHANGAA KWA NINI MATAJIRI WANA WATOTO WACHACHE, SHANGAA PIA KWANINI MASKINI WANA WATOTO WENGI.
Ila ukirudi katika hesabu utagundua kwanini mmoja maskini na mwingine tajiri.
Kwa malezi ya kistaarabu Mtoto mmoja gharama ya malezi yake hadi akifika chuo na kuanza kujitegemea ni miaka si chini ya 28 hadi 30.
Fanya kila siku katika malezi unatakiwa kuwekeza 5000 kwa mtoto kwa maisha yake yote toka tumboni, shule, mavazi, chakula na matibabu.
Tsh 5000 xsiku 30 x miezi 12 x miaka30=Jumla Tsh Milioni 54,000,000/- kwa mtoto mmoja katika malezi.
Ukimaliza malezi unakua amesha zeeka na kustafu..labda umebakisha miaka 10 au 15 mbele ya kuishi.
Sasa uamuzi ni wako chagua kuzaa watoto wacheche na hela ya watoto wengine uwekeze kwenye kununua hisa katika mabenki ujilee uzee wako wewe mwenyewe kwa kula hisa zako.
Au uzae watoto wengi uwekeze katika majukumu uitwe maskini na ubaki ukilaumu kuwa watoto hawakusaidii.
Wakatiohuo nao wapo katika majukumu yao ya msingi.
Pesa ninazo mkuu sema mimi nina 10,000/= ila wewe ni millionaire.Muone huyu naye Tatizo lako wewe umekariri Maisha mazuri ni kuwa na pesa peke yake.
Maisha hayako hivyo mzeee. Ukipata hela ndo utaelewa
Unamletaje mtoto kwenye dhiki alafu unasema ni upendo??Kama hesabu yako ndiyo hiyo bill gate angekua na watoto wangapi?
Je uhalisia ana watoto wangapi?
Siyo suala la pesa ni upendo wa mtu