Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaWatoto wengi ninkuanzia wangapi mkuu? Nafikiri kila mtu azae kwa kadiri anavyoweza kutunza watoto wake!!!!
4 tu ni standard jamaniKiufupi watoto wengi ni mzigo kama huna pesa
Hapo Sasa!Ukiwa na watoto wengi ongeza bidii zaidi ya kufanya kazi na kuwekeza
Watoto wengi ninkuanzia wangapi mkuu? Nafikiri kila mtu azae kwa kadiri anavyoweza kutunza watoto wake!!!!
😳 at least kumi(10).4 tu ni standard jamani
Unataka hoja ya kimaskini au ya kitajiri?Mimi maskini..
Haya Ibishie hoja basi..kwa hoja.
Kwa swali lako mkuu kifupi ni hivi zaa kulingana na uwezo wa matumizi yako...na ubakize kwa ajili ya maisha yako.....Watoto wengi ninkuanzia wangapi mkuu? Nafikiri kila mtu azae kwa kadiri anavyoweza kutunza watoto wake!!!!
Both wise mkuu!Unataka hoja ya kimaskini au ya kitajiri?
Hahahah[emoji15] at least kumi(10).
Hayana formula ila yana kanuni mkuu...Maisha ni kama ligi ya mpira bongo .hayana formula
Unless UNABETI MAISHAMaisha ni kama ligi ya mpira bongo .hayana formula
Na ww upo kwenye list ya matajiri?
Umemaliza mjadalaUnless UNABETI MAISHA
Unampokea mtu anavyokuja chief[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]