Hii ndiyo sababu ya Wajerumani kupinga mradi wa umeme katika bwawa la Stiegler's Gorge

Nilishangaa Jana kusikia bunge LA ujerumani wakijadili kuhusu mradi huu kumbe hawa wakoloni walishagundua miaka mingi site nyingi za madini afrika na ndio kisa sehemu nyingi nchini waliacha alama zao nasikia huwa wanakuja wanaangalia wanaondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi kawapongeza Tena wabunge wake kwa kuwa wanakubari Kila Kitu kinacholetwa na serikali yao..[emoji1787][emoji1787] Jiwe bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wana juwa mwisho wetu na siku ya kuja kuyachukuwa!!
Mamaeee zao!! Kwa akili zetu za kuamini bendera takatifu hatuna ujanja!
 
Ni wezi tu, sisi tuna hifadhi zaidi ya kumi, hata Serikali ikiamua kuifuta hifadhi hii bado ni sawa tu, hatuwezi kuendelea kuwa masikini wakati tuna madini mengi tu yanayoweza kutuletea utajiri
 
Mbuga ni yetu, wanyama wetu, umeme wetu, bwawa letu, madini yetu, kwanini watupangie?, tunajenga bwawa kuzalisha umeme wa viwanda, tunachimba uranium kutengenezea bidhaaa na tunalinda hifadhi kuvutia wataliii. Hadi tuwe donor country
Sheria zile zile, viongozi wale wale, matamko Yale Yale.
Wananchi tuliaminishwa kuwa gesi itatupatia maendeleo makubwa, Leo tunawasikia viongozi walewale wanatuambia gesi haitusaidii chochote..
Daah! Sitegemei jipyaa hasaa kwa uongozi tulionao, kiongozi anaandaa Sheria, Kisha mchakatounafanyika anasaini, baada ya miezi anaikataa Sheria aliyoandaa mwenyewe, bila kujua zimetumika pesa nyongi za walipakodi anaowanyonya kwa maushuru ya Kila namna[emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Kwanini huwa tunapenda boga tu hatupendi na UA lake?
Hapa ndio huwa naona Akili zetu kama haziko sawa!

Hao hao wakikaa kujadili namna ya kuipatia msaada Tanzania tunawaona wamaana sana ila upande wa pili tunajifanya hatupangiwi!
 
@cocochanel .. unaweza kumsaidia jiwe kujibu hizi hoja !!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Kwanini huwa tunapenda boga tu hatupendi na UA lake?
Hapa ndio huwa naona Akili zetu kama haziko sawa!

Hao hao wakikaa kujadili namna ya kuipatia msaada Tanzania tunawaona wamaana sana ila upande wa pili tunajifanya hatupangiwi!
Una maana ile ya jk ukila lazima uliwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wezi tu, sisi tuna hifadhi zaidi ya kumi, hata Serikali ikiamua kuifuta hifadhi hii bado ni sawa tu, hatuwezi kuendelea kuwa masikini wakati tuna madini mengi tu yanayoweza kutuletea utajiri
Unajua pamoja na watu kumchukia Jiwe lakini naona akili zao zina matatizo hivi kweli Ujerumani imeshindwa kuwasaidia wahindi wekundu kule Marekani wanavyoteswa na makampuni makubwa kupitisha bomba la mafuta kwenye maeneo yao ya jadi, pamoja na kuchafuliwa mazingira japo Baraka Obama alisitisha Leo Trump kauruhusu ati wanatupenda sana sisi watanzania. Na mijitu hapa kwa matatizo yao na Jiwe inaunga mkono. Tangu lini Mjerumani anakujali wewe Mtanzania? Misaada yote wanayoileta ina manufaa zaidi kwao kuliko kwetu.

Mfano waingereza wengi sasa hivi wanalala nje yaani homeless lakini wanatenga budget bil 400 kuwapatia mataifa ya sfrica na India na kwingine unadhani watakubali kuwaacha watu wao walale nje ili watusaidie sisi kama hawapati chochote???
 
Jiwe kuna vitu vingi siungana naye lakini kwa hili namuunga mkono 100 kwa 100. Hawa jamaa wanachachawa wanajua tukianza kuchimba Uranium tunaweza kuwauzia Russia ambao ni wahasimu wao.
 
Watapitia kwenye chama ccm maana huko ndiyo kuna kichaka cha mafisadi
Hawawezi kwa Jiwe labda wamfanye kama kiongozi wa ma BAGA Fresh Tundu Lissu. Tatizo watanzania wanamchukai magufuli kwa mengi. Angalia hapa
Laziest Countries in Africa
  1. Tanzania
  2. Burundi
  3. Swaziland
  4. Lesotho
  5. Equatorial Guinea
  6. Congo
  7. Southern Sudan
  8. Cape Verde
Ila Mpaka miaka kumi ya Jiwe ikipita tutasalimu amri tu. Na tutawekwa kwenye hili kundi

The full list of hard working countries is as follows
  1. Nigeria
  2. Kenya
  3. Egypt
  4. Zimbabwe
  5. Libya
  6. Somalia
  7. South Africa
  8. Morocco
  9. Tunisia
  10. Rwanda
  11. Ethio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…