Mh atutajie ni bara bara zipi angalau tano tu ktk hizo za 74000Km. Pia atutajie vituo vya afya kwenye jimbo lake ni vingapi vimehengwa na lini na atutajie hospitali za wilaya ktk jimbo lake.kikwete ndiye alitumia kodi za watanzania kujenga barabara na miradi mingi ni ile endelevu ya kikwete
Mwenza wake aliishatangulia, labda kama alichukua spare!nimecheka kwanguvu alafu nasema hivi, Kangi atakuwa anvumiliwa hata kwenye ndoa, usafi hana , sasa nyummbani sijui inakuwaje
Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
Hata Naibu Rais ndugu Daud Bashite kadumu kwenye U-RC na vyeo vyote alivyompa ikiwemo mshauri mkuu wa mtukufu kwa sababu amejua kusifu na pia anajua kuihujumu chadema.Aisee basi inabidi tuwaonee huruma kumbe hawafanyi hivi kwa ridhaa yao bali wanaogopa ulaji unakatika alafu waoga sana kujiajiri.
Unakuta jimbo lako watia nia ndani ya chama wapo zaidi ya 17, halafu kwa utaratibu mpya Kamati kuu inatakiwa kuteua majina matatu tu ndiyo yakapigiwe kura za maoni. Na Magufuli ndiye Mwenyekiti wa chama na kamati kuu.
Hivi katika mazingira hayo hata mngekuwa nyie mngefanya nini?
Hebu basi tujaribu kuwa waelewa basi, tunapoona watu wanasifu mpaka wanakufuru wanamwita JPM Mungu tuwavumilie hali ni mbaya huko ndani.
Kilichopo ni ama uteuliwe ugombee na usipoteuliwa kugombea nafasi ya kuteuliwa uDC na uRC nazo ni finyu list ni ndefu sana.
Hivyo kadri unavyofanya bidii kusifu ndiyo odds za kuula zinaongezeka
Ha ha ha ha huyo akiingia ikulu siku ya kwanza tu atatangaza kufuta mfumo wa vyama vingi na kufukuza Balozi zote za wazungu kurejesha mabalozi wote Nchini na kubakiza za jamii moja korea Japan china ambao hawajali mfumo wa vyama vingi.Nilikuwa sijasoma ID kumbe ni ww mwamba wa siginda. Chukua basi form ya uraisi utimize ile ndoto ulio andika kwenye mawe na karavati za madaraja nchi nzima 2015
Naunga mkono hoja yako kwa 100%Anadhani humu mitandaoni ni kama kwenye mikutano ya huko jimboni kwake, ambako anawahubiria kisha wanamshangilia. Humu watu wana akili zao, na watu wasiojulikana hawaji humu.
Wanaojiita wasomi huko CCM wote Bungeni hawaongei vitu vya mbolea, Ndungai kabakia kuwatumia darasa la saba Msukuma na Livingston kibajaji kama waimba taarabu, CCM ya sasa inahudhunisha.Taifa la wajinga na mang'ombe
Mtu mmoja ana control vichwa milioni 60 bila tatizo lolote
Pesa ya viwanda, pesa za maendeleo zote zimetumika kuwanunua wabunge madiwani wanachama wa chadema, Pesa iliyotumika kuidhoofisha chadema ni pesa nyingi sana ingekuwa hizo pesa zimeelekezwa kwenye maendeleo mda huu kungekuwa na daraja toka Dsm mpaka Zanzibar na pemba, mafia Lindi, ukerewe mwanza, kungekuwa na viwanda kila kata, vyuo vikuu kila wilaya, Hosptal za rufaa kubwa zenye madaktari Bingwa toka India cuba ulaya kila mkoa.Mh atutajie ni bara bara zipi angalau tano tu ktk hizo za 74000Km. Pia atutajie vituo vya afya kwenye jimbo lake ni vingapi vimehengwa na lini na atutajie hospitali za wilaya ktk jimbo lake.
Bashiru atakwama kwa hili wapo watu mabingwa wa kusifu kama akina Kesi na wenzao wameapa kuzeekea Bungeni mpaka watembelee mikongojoBashiru alisema kama wabunge ambao walishashika jimbo awamu mbili wasahu awamu hii kurudishwa
Kimsingi, watanzania wanahitaji sura na fikra mpya kwenye Bunge lijalo. Wanahitaji watetezi, wawakilishi na washawishi. Hawahitaji wa aina ya sasa. Hawahitaji hawahawa waende wakatende hayahaya. Wanahitaji wachapakazi na wa kuishi na wananchi wao katika shida na raha. Maisha si miundombinu tu. Hata faraja na furaha pamoja na wananchi ni maisha bora kabisa. Sura mpya zinahitajika kubadili sura ya Bunge letu.Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
Dikteta angetaka kuwachezea makalio hawa wapuuzi ili awape teuzi wasingekataa, yaani wamejishusha hadhi na utu wao hadi inatia KINYAA.
Mwigulu!
Naamini una uelewa wa kutosha!
Miradi ya nchi hii haijaanza kujengwa 2015 Bali tangu enzi za ukoloni! Kuna haja gani basi ya kujidanganya nafsi yako na za wengine kuwa magu kajenga miradi yote hii katika awamu yake?
Ulikuwa kwenye Baraza la mawaziri la Kikwete Tena wizara nyeti, ni sahihi kutamka kuwa awamu hiyo hamkujenga mradi wowote? Huoni kama unajicontradict mwenyewe kwa hoja uliyoiweka hapo?
Mimi naamini kuwa Jambo lolote ulililolifanya kwa ukamilifu huna haja ya kulinadi na kulitangaza kwa kujisifu mbele za watu bali Jambo hilo linatakiwa lijitangaze lenyewe! Na Kama ukiona unalitangaza, maana yake ni kuwa hukulifanya kwa ufasaha na inatakiwa kupuuzwa na kudharauliwa!
Dharau na kupuuzwa ndiyo yaliyojaa kwenye akili za watanzania kwa Sasa kwani wanaamini kuwa ccm halijafanywa inavyopasa! Huu ndio ukweli na ndio maana mmevuka mipaka ya kudhalilisha na kutikisa Imani za watu wengine kwa kumfananisha binadamu na Mtume wao!
Kubali kuwa mmevuka mipaka ya kukufuru na ikibidi mkemee hii tabia ya kifedhuli mnayoistawisha kwenye mioyo ya vizazi vyetu! Hii maonism mnayoipandikiza hapa kwetu haikuleta maendeleo kule china! You've to think different kwani naamini wewe ni mfuasi mzuri tu wa Kristo!
Endelea kusifu na kusujudu. Ila chama sio chenu ni chake yeye mwenyekiti.Usipotoshe UKWELI,Kuwa na ADABU. wabunge tunamsifia RAIS MAGUFULI kwa Kazi zake za kutukuka kwa Taifa letu. Hatumsifii kwaajili ya kulinda majina wakati wa kugombea, Kazi alizofanya zinatunadi wabunge na CCM yenyewe.
Ona, Vituo vya Afya vyenye hadhi ya hospitali za Wilaya kila Tarafa, Umeme kila Kijiji, Barabara za vijiji zaidi ya 74,000km , Maji, Elimu, na Miradi ya Kkielelezo, just to mention a few. Aliyekwambia wagombea watachujwa ni nani? Tangu lini wewe umekuwa Msemaji wa Chama Chetu! Hata utwambia yatapitishwa majina matatu?
Kuna akili za watu wengine ni mateso na msalaba kuwa nazo! Binadamu anamsifia binadamu mwenzake kiasi hicho badala ya kumsifia Mungu!yule mkata viuno aliyetumbuliwa si KAMFANANISHA NANII NA YESU? tusubiri Yesu mwenye wivu ajibu, maana hata Nkurunziza ali-m'bipu naye akapiga!
Tumsamehe, mbeleko yake ni kubwa, akiachiwa ataangukia shimo la PCCB na Polisi, ana maovu mengi, kishamfananisha na Yesu, bado tu kumfananisha na Mungu baba, na mfananishwa kakaa anakuna kidevu kufurahia, na alishasema anataka kwenda kuwa malaika mkuuKuna akili za watu wengine ni mateso na msalaba kuwa nazo! Binadamu anamsifia binadamu mwenzake kiasi hicho badala ya kumsifia Mungu!
Naona wananchi sasa mmeamua. Kule Zimbabwe kilukuwa na Rais akiitwa Banana na Malaysia Waziri Mkuu mmpoja hivi walikuwa na mchezo huo.