Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Uyu jamaa atakua haudhuriii vikao vya wanaume kurudi Rudi sio mpangoπΉπΉπΉ CV iliyoshiba..!!
Kirikuu upo? πΉπΉUyu jamaa atakua haudhuriii vikao vya wanaume kurudi Rudi sio mpango
Apa naomba mlete maumbo tuanze kutafuta thamani zao ππNimeona umeuliza km ukiwemo kwenye list utakua x ndani ya muda gani??
Lazima nipotee maana bila chachambi ww utaniachia ndara tu apaπππKirikuu upo? πΉπΉ
Mbona umepotea sana mdogo wangu?
Acha ukorofi basi πΉπΉApa naomba mlete maumbo tuanze kutafuta thamani zao ππ
Haki huu ukorofi utakua umeanzisha ww Wacha tukichafueπAcha ukorofi basi πΉπΉ
Ndiyo maana nikasema "kama"Nimeona umeuliza km ukiwemo kwenye list utakua x ndani ya muda gani??
Nilitaka kumpa somo la uwajibikajiπππAsa ulikubali vipi kukutana nae pasipo kuitaji
Yenye nyama za kutoshaπππΉπΉπΉ CV iliyoshiba..!!
Asa ww ushikikiwe kitengoni tu πNilitaka kumpa somo la uwajibikaji
ππππAsa ww ushikikiwe kitengoni tu π
Na dhamana usipewe ufanye ivo upigwe tyre tu πππππ
Hakika mkuuUzinzi haufai, maana unaacha makovu yasiyofutika
Kwanza mi ni mwanaume, pili hilo swali nikikujibu hutoamini, utadhani najitakatifuza, kwahiyo sitakujibu.Wewe una maex wangapi??
ARV trump kasitisha, huwezi kununua, utakufa we mtoto acha umalaya.Hakika mimi ni masikini kama wewe, masikini tunajuana
Mshtuko siyo wa Idadi,ni kwamba kama hapo tu maeksi wawili je, kwingine?. Kama ni kweli unahitaji ukombozi ili uwe huru!Hao ma ex wawili tu mnashtuka hivyo jamaniππ
ππππacheni mawazo ya mbaliMshtuko siyo wa Idadi,ni kwamba kama hapo tu maeksi wawili je, kwingine?. Kama ni kweli unahitaji ukombozi ili uwe huru!