Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
Wewe jamaa aliyekatwa mikono ni ndugu yako au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yy ndo kakatwa,aliulizwa akatwe sikio au aliwe witiri akajibu nileni tu tigo, chereheni akashtuka akajua huyu mzoefu tutamfaidisha wakaamua kumkata sikio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe jamaa aliyekatwa mikono ni ndugu yako au
Tunamtetea mwanaJF mwenzetu muba aka popoma,ametendewa unyamaKumtetea huyo mgoni muba unapaswa kwanza nati kadhaa kichwani zing'oke.
Kitendo Cha kumtembea na MKE wa mtu,
Tena nyumban kwako na kwenye kitanda chako unacholala na mkeo hiyo Ni dharau kubwa Sana na iliyopitiliza.
Sitetei alichofanya bwana cherehan,
Ila mnaomtetea bwana muba nanyi mjitafakari Sana mngevaa viatu vya cherehani[emoji848]
Baada ya Kukamatwa Jana huko Mbagala alikojificha kwa Kosa la Kujeruhi kwa Ukatili kwa Kumkata Mgoni wake Sikio na Kidole cha Kati hii ndiyo Tuhuma inayomkabili Mfanyabiashara wa Mihogo Soko la Kawe Bwana Cherehani.
GoodBaada ya Kukamatwa Jana huko Mbagala alikojificha kwa Kosa la Kujeruhi kwa Ukatili kwa Kumkata Mgoni wake Sikio na Kidole cha Kati hii ndiyo Tuhuma inayomkabili Mfanyabiashara wa Mihogo Soko la Kawe Bwana Cherehani.
KOSA lake / TUHUMA yake ni
KUTAKA KUUA KWA KUKUSUDIA.
Na tayari ORDER imeshatoka kwa RPC wa Kanda Maalum ya Mkoa wa Dar es Salaam kuwa Kosa hilo halina MDHAMANA.
Lingine ni kwamba Mkewe Mfanyabiashara Bwana Cherehani aitwae Mama Zai ( ambaye ni Mjamzito ) nae amejumuishwa katika Kesi hiyo na sasa Yeye na Mumewe huyo Mpumbavu, Mshamba na Mwendawazimu wako Ndani Kituo cha Police cha Oysterbay.
La mwisho ni kwamba Mama Mkwe wake Mfanyabiashara Bwana Cherehani ( ambaye ni Mama Mzazi wa Mke wa Bwana Cherehani ) aitwae Mama Zai nae amejumuishwa katika Kesi hiyo hiyo ya Mkwewe na Mwanae ( Binti yake ) na kwa sasa yuko Kituo cha Police Kawe na muda wowote kuanzia sasa atapelekwa Kituo cha Police cha Oysterbay.
Kwanini Mama Mkwe wa Mfanyabiashara Bwana Cherehani ( Bi. Zai ) amejumuishwa katika Kesi hii?
Ni kwamba Siku ya Tukio baada ya Mgoni Bwana Muba kuweka Kati ( Kufumaniwa ) Nyumbani Kwake Mfanyabiashara Bwana Cherehani ni kwamba Mama Mkwe ambaye pia ana Undugu na Mgoni Muba na pia ni Binamu wa Mke wa Mfanyabiashara Bwana Cherehani aitwae Mama Zai katika Hali ya Kushangaza na Kusikitisha alipoulizwa na Mkwewe Mfanyabiashara Bwana Cherehani kama anamjua Mgoni Muba aliruka Kimanga na Kujibu kuwa hamjui na Kuwaambia wamfanye Watakavyo ndipo Mfanyabiashara Bwana Cherehani kwa Kushirikiana na Mdogo wake aitwae Mpele na Watu wengine Watatu wakaamua Kumjeruhi vibaya Mgoni Muba kwa kuanza kumwambia avue Nguo zake zote kisha Mfanyabiashara Bwana Cherehani mbele ya Mama Mkwe wake ( mwenye Undugu na Mgoni Muba ) akishuhudia na kuanza Kumkata Sikio, Kidole kisha kuviweka katika Kitambaa cha Handkerchief na kumalizia pia na Kumchanja Shingoni kwa Wembe Mkali Mkewe Mama Zai ambaye kwa sasa ni Mjamzito.
Haya wale Wapumbavu na Wendawazimu mliokuwa mnamtetea huyu Mfanyabiashara wa Mihogo Soko la Kawe Bwana Cherehani tafadhali endeleeni Kumtetea ila wenye Akili na tuliofanya Consultations kwa Legal Gurus tumehakikishiwa kuwa Mfanyabiashara Bwana Cherehani ameharibu sana, anaenda kupotea na Kuozea Jela na kwamba hana Angles za Kujitetea ili ajinasue pamoja na kwamba huwa anajisifia kuwa ana Waganga wengi Wazuri kutoka Bagamoyo, Mbagala, Kwao Mtwara na waliko Mababu zake wa Ukoo Msumbiji kwa Wamakonde Wenzake.
hii kesi imefikia tamati?Baada ya Kukamatwa Jana huko Mbagala alikojificha kwa Kosa la Kujeruhi kwa Ukatili kwa Kumkata Mgoni wake Sikio na Kidole cha Kati hii ndiyo Tuhuma inayomkabili Mfanyabiashara wa Mihogo Soko la Kawe Bwana Cherehani.
KOSA lake / TUHUMA yake ni
KUTAKA KUUA KWA KUKUSUDIA.
Na tayari ORDER imeshatoka kwa RPC wa Kanda Maalum ya Mkoa wa Dar es Salaam kuwa Kosa hilo halina MDHAMANA.
Lingine ni kwamba Mkewe Mfanyabiashara Bwana Cherehani aitwae Mama Zai ( ambaye ni Mjamzito ) nae amejumuishwa katika Kesi hiyo na sasa Yeye na Mumewe huyo Mpumbavu, Mshamba na Mwendawazimu wako Ndani Kituo cha Police cha Oysterbay.
La mwisho ni kwamba Mama Mkwe wake Mfanyabiashara Bwana Cherehani ( ambaye ni Mama Mzazi wa Mke wa Bwana Cherehani ) aitwae Mama Zai nae amejumuishwa katika Kesi hiyo hiyo ya Mkwewe na Mwanae ( Binti yake ) na kwa sasa yuko Kituo cha Police Kawe na muda wowote kuanzia sasa atapelekwa Kituo cha Police cha Oysterbay.
Kwanini Mama Mkwe wa Mfanyabiashara Bwana Cherehani ( Bi. Zai ) amejumuishwa katika Kesi hii?
Ni kwamba Siku ya Tukio baada ya Mgoni Bwana Muba kuweka Kati ( Kufumaniwa ) Nyumbani Kwake Mfanyabiashara Bwana Cherehani ni kwamba Mama Mkwe ambaye pia ana Undugu na Mgoni Muba na pia ni Binamu wa Mke wa Mfanyabiashara Bwana Cherehani aitwae Mama Zai katika Hali ya Kushangaza na Kusikitisha alipoulizwa na Mkwewe Mfanyabiashara Bwana Cherehani kama anamjua Mgoni Muba aliruka Kimanga na Kujibu kuwa hamjui na Kuwaambia wamfanye Watakavyo ndipo Mfanyabiashara Bwana Cherehani kwa Kushirikiana na Mdogo wake aitwae Mpele na Watu wengine Watatu wakaamua Kumjeruhi vibaya Mgoni Muba kwa kuanza kumwambia avue Nguo zake zote kisha Mfanyabiashara Bwana Cherehani mbele ya Mama Mkwe wake ( mwenye Undugu na Mgoni Muba ) akishuhudia na kuanza Kumkata Sikio, Kidole kisha kuviweka katika Kitambaa cha Handkerchief na kumalizia pia na Kumchanja Shingoni kwa Wembe Mkali Mkewe Mama Zai ambaye kwa sasa ni Mjamzito.
Haya wale Wapumbavu na Wendawazimu mliokuwa mnamtetea huyu Mfanyabiashara wa Mihogo Soko la Kawe Bwana Cherehani tafadhali endeleeni Kumtetea ila wenye Akili na tuliofanya Consultations kwa Legal Gurus tumehakikishiwa kuwa Mfanyabiashara Bwana Cherehani ameharibu sana, anaenda kupotea na Kuozea Jela na kwamba hana Angles za Kujitetea ili ajinasue pamoja na kwamba huwa anajisifia kuwa ana Waganga wengi Wazuri kutoka Bagamoyo, Mbagala, Kwao Mtwara na waliko Mababu zake wa Ukoo Msumbiji kwa Wamakonde Wenzake.
Kwa Tanzania Rushwa ina nguvu kuliko Haki. Mtuhumiwa yuko Huru na anaendelea na Kuuza zake Mihogo Soko la Kawe japo kwa sasa Ameokoka Kinafiki ( anasali Kanisa jirani la kwa Mchungaji Ndegi ) Kawe.hii kesi imefikia tamati?