Among vitu vinavyotunisha account ya diamond ni mikataba minono anayoingia na Diamond...the lowest mkataba huwa analipwa si chini ya 300m tena for three months which are renewableHatimaye Diamond ametoa sababu ya kutopanda jukwaa la fiesta 2016,Akihojiwa na kipindi cha jahazi cha clouds fm Diamond amesema kuwa ndoa(mkataba) yake na vodacom ndio sababu inayomfanya asishiriki fiesta.
Wadhamini wakuu wa fiesta ni Tigo.