Upuuzi mwingine huu,yaani hapa umefikiri weeeee ndiyo ukatoka na huu ushuzi. Misukule ya Ghalib mna shida sanaSalaam wakuu,
wengi hudhani ni mazoea tu, au pengine humaanisha simba ni kubwa kuliko yanga, jambo ambalo si sahih.
ukweli ni kwamba, jambo hili limetokana na simba kuzaliwa na yanga, hivo kiprotokali jina la mtoto lazima lianze then la mzazi ndo hufuata, natumai walokua hawajui jambo hili wamepata mwanga.
kusema "upuuzi" hakutabadili ukweli wa simba kuzaliwa na yanga.Upuuzi mwingine huu,yaani hapa umefikiri weeeee ndiyo ukatoka na huu ushuzi. Misukule ya Ghalib mna shida sana
Ili uwe shabiki wa Simba au Yanga lazima uwe na ka-utaahira flani ndani yako.Usimba na Uyanga utawauwa nyie watu
Wewe uto uliona wapi klabu inazaliwa? Mbona mnakuwa mamburula nyinyi uto.kusema "upuuzi" hakutabadili ukweli wa simba kuzaliwa na yanga.
🤣🤣🤣🤣🙆🙆Wewe uto uliona wapi klabu inazaliwa? Mbona mnakuwa mamburula nyinyi uto.
simba ndy tim pekee inayowakilisha nch ko lazim iwe yakwanza kutajwaSalaam wakuu,
wengi hudhani ni mazoea tu, au pengine humaanisha simba ni kubwa kuliko yanga, jambo ambalo si sahih.
ukweli ni kwamba, jambo hili limetokana na simba kuzaliwa na yanga, hivo kiprotokali jina la mtoto lazima lianze then la mzazi ndo hufuata, natumai walokua hawajui jambo hili wamepata mwanga.
Aliyewaroga amekufaSalaam wakuu,
wengi hudhani ni mazoea tu, au pengine humaanisha simba ni kubwa kuliko yanga, jambo ambalo si sahih.
ukweli ni kwamba, jambo hili limetokana na simba kuzaliwa na yanga, hivo kiprotokali jina la mtoto lazima lianze then la mzazi ndo hufuata, natumai walokua hawajui jambo hili wamepata mwanga.
Ndiyo unazidi kudhihirisha upumbavu wako,yaani umeleta hoja kibudukusema "upuuzi" hakutabadili ukweli wa simba kuzaliwa na yanga.
Yanga Alipewa mimba na nani. hadi Simba akazaliwaSalaam wakuu,
wengi hudhani ni mazoea tu, au pengine humaanisha simba ni kubwa kuliko yanga, jambo ambalo si sahih.
ukweli ni kwamba, jambo hili limetokana na simba kuzaliwa na yanga, hivo kiprotokali jina la mtoto lazima lianze then la mzazi ndo hufuata, natumai walokua hawajui jambo hili wamepata mwanga.
Au Vitabu vitakatifu vinapotumia ADAM NA HAWA (EVA)ni sawa tu na MC anavyosema Mabibi na Mabwana...
Salaam wakuu,
wengi hudhani ni mazoea tu, au pengine humaanisha simba ni kubwa kuliko yanga, jambo ambalo si sahih.
ukweli ni kwamba, jambo hili limetokana na simba kuzaliwa na yanga, hivo kiprotokali jina la mtoto lazima lianze then la mzazi ndo hufuata, natumai walokua hawajui jambo hili wamepata mwanga.