Hii ndo top ten ya vyuo vya kata bongo,vijue kabisa usije ukadanganyika kuvichagua kwa wadogo zangi

vyuo ni bora je wewe unauzika kwenye soka la ajira kwa kusoma vyuo bora ulivyovitaja?
Mkuu samahani sana naamin kuuliza si ujinga bali kutaka kujua , hivi 'SOKO LA AJIRA' lipo sehemu gan ?au kama utaweza nifafanulia maana yake kiundani ntashukuru kwa ilo pia.
 
-------- KABISA....MSOMI UNAPOST UPUUZI KAMA HUU.hili sio jukwaa la wendawazimu umepotea njia hata spelling za ulivyoandika hujui....ur so(-)

Mkuu kilaza kama huyu akimwagiwa tndikali itakuwa ni makosa kweli maana anaupotosha umma?
 
Kwahyo kwa akili zako nyingi unadhani wanaosoma UDSM wote huwa wanagraduate na first class eeh?
 

Mzumbe University inaangukia wapi? kwenye bora ama kwenye kata?
 
Jiulize kama chuo ulichosoma au unachosoma ulikifaham na kukipenda tangu ulipokuwa advance au ulijiunga kwa 7bu ya matokeo kuzingua? ukipata jibu utakubal kuna vyuo vya kata visivyotambulika c tu nje bali hata kwa madogo wa advance
 
Ardhi juu wagumu haw n kozi non available kwngne....trace 4 buildng econ an geomatics wat about archtctur
 
Kweli kachemka ardhi kwa st augustine bado sana angalia hta kwny rank ya vyuo bora tz st augustne iko juu ya ardhi xo i think ukilaza unamsumbua

acha ukilaz wew ardhi hauwez fanansha n chuo chko cha mapenz wew ardhi kun elimu pale haupat afrika mashark n kati sio videgree vyk vy philosopy baed socialogy n bla bla bla nyng et utangazaj katangaz kwen
 
acha ukilaz wew ardhi hauwez fanansha n chuo chko cha mapenz wew ardhi kun elimu pale haupat afrika mashark n kati sio videgree vyk vy philosopy baed socialogy n bla bla bla nyng et utangazaj katangaz kwen

hahahaaa,bora useme wewe
 

Upumbavu
 

Attachments

  • inatusaidiaje.jpg
    6.5 KB · Views: 241

yan ungejua io post usingeiweka..coz kuna siku utataman kuja kuifuta humu
 

Nadhani akili yako iko kwenye makalio tu... na kuna uwezekano mkubwa kwamba unashiriki mapenzi ya jinsia moja wewe si bure. Una kipimo cha kupima ubora wa vyuo vikuu wewe mburula??? Kapime akili za mashoga na wasagaji wenzio kwanza uone wewe ni ----- kiasi gani kwenye hilo kundi leni.
 
Upeo wako mdogo ka maisha funza,unakosea na unashindwa kujifunza,...na utakua jogoo la shamba wewe
 
Ajira kwa TZ ni GPA na mkono mrefu, hilo la chuo cha kata ni lako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…