flyn ryder
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 656
- 86
Ama kweli utoto ni kazi, mimi nimesoma St. joseph kwenye interview moja nilikutana na wanafunzi kibao kutoka udsm ,cha ajabu walikuwa na mbwembwe kibao,mwisho wa siku nilipata hiyo kazi baada yakuwabwaga kwenye interview nasikuwa namtu yeyote aliyekuwa ananifahamu kwny kampuni kwn mimi nizaidi ya mtoto wa mkulima, nakwass napiga mpunga wakueleweka.Endeleeni na upuuzi wakujadili vyuo huku watu wanaendeleza maisha.
Note: Uwezo wa mwanafunzi kwanza ubora wa chuo baadae
we muongo usitudanganye hapa,kampuni gani hio?na utupe ushahidi sio unaandika tu.
st joseph nacho ni chuo?div 3 tupu



