Vizur sana mtaalamu naomba uende na majukwaa mengine ukawaelimisha wengine kuhusu hili...Usikalili bongo ni dsm pia inaweza ikamaanisha tanzania mfano mtu anaongelea wabongo haimaanishi wadsm inamaana watanzania mtoa mada yupo sawa,chuo kikuu cha kanda ya ziwa ni chuo cha kata over.