Hii Ndoa Tarajiwa Inaniumiza kichwa

Hii Ndoa Tarajiwa Inaniumiza kichwa

1. UMEMKUTA BIKRA
2. UMEMFUNUA MIAKA 6

UNATAKA KUMWACHA TENA BILA HOJA YA MSING, MI NILIDHAN LABDA MCHARUKO
 
Kitendo cha kukaa nae miaka 6 bila kumbadilisha inaonesha jinsi gani ma wewe ni boga kama yeye.

Kwa matatizo aliyonayo yanabadilishika kabisa.
Hakika binti kapata Boya, umepoteza muda wake bure
 
Wakati unatongoza ulitegemea nini na nan alikushauri
Mabaharia hua tunatosa mizigo baharini kama tunaona Chombo kimezidiwa na kinataka kuzama
 
We kaka utapata laana ww..miaka sita yote hyo leo ndo unaona hafai
Karma itakutafuna utatapa tapa usipate mtu sahihi we jua kwamba hakuna perfect na kwahuyo mtu wako hzo weakness zinarekebishika kabisa
Unaogopa uzuri kama anajiheshimu sio shida..wenzio wanataman apate mtu ata mwenye kimoja kati ya sura na shape
Jitafakari upya otherwise humpendi
 
Duh ! Miaka sita umeshaosha rungu lako limetakata sasa unataka kumbwaga mtoto wa watu eti kwa kisingizio watakugongea wakati mwenzio keshafunga hesabu asee .acha hizo heri ungemwacha afe na birika yake loh! Hapo mwanzo si ulijua wa kishua? Anafulia mashine??! Acha hizo !!!
 
Duh ! Miaka sita umeshaosha rungu lako limetakata sasa unataka kumbwaga mtoto wa watu eti kwa kisingizio watakugongea wakati mwenzio keshafunga hesabu asee .acha hizo heri ungemwacha afe na birika yake loh! Hapo mwanzo si ulijua wa kishua? Anafulia mashine??! Acha hizo !!!
Munkari
 
We kaka utapata laana ww..miaka sita yote hyo leo ndo unaona hafai
Karma itakutafuna utatapa tapa usipate mtu sahihi we jua kwamba hakuna perfect na kwahuyo mtu wako hzo weakness zinarekebishika kabisa
Unaogopa uzuri kama anajiheshimu sio shida..wenzio wanataman apate mtu ata mwenye kimoja kati ya sura na shape
Jitafakari upya otherwise humpendi
Asante dada inna umeongea kwa hisia sana
 
Duh ! Miaka sita umeshaosha rungu lako limetakata sasa unataka kumbwaga mtoto wa watu eti kwa kisingizio watakugongea wakati mwenzio keshafunga hesabu asee .acha hizo heri ungemwacha afe na birika yake loh! Hapo mwanzo si ulijua wa kishua? Anafulia mashine??! Acha hizo !!!
Daah umeongea kwa hisia kaka
 
Back
Top Bottom