Hii Ndoa Tarajiwa Inaniumiza kichwa

Haahhahaaa Kuna Jamaa alisikia Nina Mpango wa Kumuacha Akamwambia mshikaji kwamba bwana Flan akitaka kumwacha flani Aniambie..Nlicheka sana
 
Kuna mambo umetuficha hapo, kuwa muwazi upate ushauri wenye manufaa
 
Huyu ni aina ya wale wanaopiga mapicha na kuyaweka mtandaoni....?
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…