Hii ndoto ilinifanya nikasilimu

Wow akhera patamu sana. Umeniongezea ari nifike.
Maana nlpokuwa Kafiri la kikristo hata skupapenda mbinguni Yani kukesha unaimba tu milele na milele inaboa ni Bora nife tu.
Ha ha ha. Kweli kuimba kunaboa sana, ngono tamu sana. Huku duniani inapigwa vita wakati huko akhera muda wote unaojisikia unafanya ngono.
Unaenda kugegeda mabikra 72. Hongera sana shekh. Kule hakuna kuoa, ni kuimba na kusifu tu.
Utafaidi sana mabikra 72, Allah amekuandalia mabikra 72 akhera. wewe ni ngono tu.

Quran 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera

Pia ukisoma Quran 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume

Zaidi ukisoma Quran 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli
 
Inshallah
 
Waafrika mna mambo sana, yaani mnarumbana Kwa sababu ya dini za wazungu na waarabu, mwisho wa yote ni kifo.......
 
Mungu kamuita Yesu Mungu, katika Zaburi

Kuna ubaya gani mwanangu kumuita Jina langu
 
Mungu kamuita Yesu Mungu, katika Zaburi

Kuna ubaya gani mwanangu kumuita Jina langu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hamisi mambo vipi, umekua adimu sana ndugu yangu.
Tokea tumtimue rafiki yako Baba Ubaya naona umesusa hata kuja kuchungulia kwenye jukwaa letu la mabingwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kila mtu uchagua njia yake ya kupita safari njema sisi tuko kwenye dini ya amani na upendo hatuendeshwi kwa jazba na matisho ni amani kwa kwenda mbele ndio maana kila siku ni furaha.
 
Siku ukija kuelewa unachosema.. anyway bado Mungu ni mwema
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hamisi mambo vipi, umekua adimu sana ndugu yangu.
Tokea tumtimue rafiki yako Baba Ubaya naona umesusa hata kuja kuchungulia kwenye jukwaa letu la mabingwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo kaka ,kesho nakuja ,maana kesho lazima tuwabonde si chini ya goli 3
 
Unapokuwa umefocus kwenye jambo fulani, ubongo huoanisha matukio kusapoti kile ulichofocus. Huu mfumo huitwa RAS... Ndio mfumo unaochangia watu kuwa wabishi..
Yaani ulivyonegewa na qaswida, ukataka namna yafahamu, ubongo ukakupa sapoti ya kuenda huko. Sio kitu kibaya.

Mungu hutaka watu wawe spiritual. Yaani wakuwe kiroho.
Namna roho yako ilivyodhaifu, ukiota tena utabadili dini.
Acha kutangatanga.
 
Mungu akubariki kwa mawazo mazuri ya kutoka kwenye ukafiri wa giza kuja kwenye mwanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…