Hii ndoto ilinifanya nikasilimu

Ama kweli watu wengi wamepotea
 
pole Yako... jitafakari upya bado mlango upo wazi unaweza kutubu na kumrudia Kristo ambae ni yote ktk yote...

Ni suala la mda tu utajutia uamuzi wako..uyo Mohamed Hana pa kukupeleka sabb na yy anasubiri kuhukumiwa..Yesu ndio mamb yote...
 
Faida gani napata hadi nitunge uongo nakwambia uhalisia wa Mambo jinsi yalivyo,
Huo ni uongo...hakuna sehemu ambapo watu wanalipuka mapepo kama makanisa ya walokole.

Kama huamini Anza kuhudhuria ibaada zao, Kila J2 lazima Kuna lundo la watu wataanguka mapepo.
 
Jitahidi kuishi kadri ya mausia ya dini
Sio kuswali pekee
 
Najisi ni mavi na mkojo, vibavyotoka mwilini kwako? Basi mwili ni najisi!
 
We hutaenda KWA ustadhi akufanyie dawa ya kishirikina?
 
Dini duniani ni moja tu, uislam
Sawa bado unajaribu

Cc: FaizaFoxy
 



Mcqueenen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…