Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Wacha UPUMBAFU! badili profileAah sio lazma profile ieleweke. Ukielewa Quran tu inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha UPUMBAFU! badili profileAah sio lazma profile ieleweke. Ukielewa Quran tu inatosha
Aiseeeeee, nimecheka sana.Tafadhali muoe FaizaFoxy, ana ugwadu. Mpaka anakaribia kuchanganyikiwa.
Ni maigizo tu, ndomana nakwambia ukristo ni agenda ya kipumbavu, kihuni na kiujanjaujanja. Mapepo yanampata yeyote! Hususani huwapata wanawake kwa sababu kadhaa kadhaa tena hiyo ni elimu nyingine haihusiani na udini kabisa!Huo ni uongo...hakuna sehemu ambapo watu wanalipuka mapepo kama makanisa ya walokole.
Kama huamini Anza kuhudhuria ibaada zao, Kila J2 lazima Kuna lundo la watu wataanguka mapepo.
Isaya 53 imeeleza vyema,hiyo ilikuwa miala mamia kabla kina paulo hawajazaliwa. hiyo dhambi ya kumkana Yesu ndiyo dhambi yako ya kwanza utakayohukumniwa nayo. Ilikuwa desturi ya Mungu kusamehe au kuondoa dhambi kwa njia ya kumwaga damu, ukifanya dhambi lazima uadhibiwe kifo au la kitu kingine kife badala yako, ndio maana zamani na kwa desturi ya dini ya kiyahudi iliyokuwepo hata kabla muhamad hajazaliwa, walikuwa wanachinja wanyama, yaani kumwaga damu ya wanyama ichukue nafasi ya kumwaga damu ya mtenda dhambi.Unafanya dhambi kubwa na kumkosea Muumba wako unapompa Yesu binadamu kama Wewe hadhi ya Mungu.
Yani unamuabudu binadamu mwenzio
Yesu alikuwa Nabii kama manabii wengine, na hakuwahi kusema yeye ni Mungu
Kina Paulo na Waroma ndio waliochakachua na kuanza kumuabudu Kama Mungu.
Shirki mbaya sana.
Hata mimi nimecheka sana kwa kweli. Sijui jamaa akawaza nini? DahhhMkuu huitendei haki PhD yetu kaka... nimekuja kuchekea chooni nisije kumaindiwa na Mkuu wa kazi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtu awezakuwa sheikh mkubwa bila kuwa mdau?We hutaenda KWA ustadhi akufanyie dawa ya kishirikina?
Ushirikina ndio dhambi kubwa kuliko zote kwenye uisla
hilo jibu unalo mwenyewe, ila kwa lugha nyepesi ningesema, uislam sio imani sahini ya kumwona Mungu, na hamtamwona Mungu kamwe.Kwahiyo uislam ni Ushetani?!
Wewe unatafuta vita na watu. Huna unachokijua unaishi kibubusa tu masikini na kwa kufuata mikumbo na kujazwa chuki.
Mijadala na mihadhara duniani kote huwa waktisto wanaishia kushindwa tena kwa FACT! inasikitisha mtu mwenye akili timamu ya aina yako anazungumza maneno ya namna hiyo.
POLE SANA! kumbuka nilikuwa mkristo pia, i lived western for years atlast i found the truth!
UKRISTO SIO DINI, NI AGENDA YA WATU WALIUNDA KITU CHA NAMNA HIYO. NA ASILI YA UKRISTO NI ETHIOPIA.
WAZUNGU WANALIJUA HILI NA WASOMI WAKUBWA ILA NI SIRI KUBWA AMBAYO HUTAKUJA UKAIJUA. UKTISTO NI AGENDA YA WAHUNI, MATAPELI NA WAJANJAWAJANJA TU! YESU HAKUJA NA KITU KINAITWA UKRISTO... NA UKITAKA MFANO MRAHISI KUWA UKRISTO NI AGENDA NA UJANJAUJANJA ANGALIA NA FUATILIA KINACHOENDELEA KWA HAO WANAOJIITA MANABII NA MITUME WENU.
Hongera kwa kuongeza idadi ya bikira kule kwa Allah.True story: Tea time,
Nilizaliwa katika ukristo na kukulia kwenye ukristo.
Mwaka Jana nilihamia Tanga kikazi, mtaa niliokuwa Ninaishi ulikuwa una waislam tupu. nyumba nliyokuwa Ninaishi ilikuwa jirani na msikiti, Kila siku pale msikitini walikuwa wanaimba aya za Quran Usiku kucha. Sijui kwanini lakini Ile sauti ilikuwa ni nzuri sana masikioni na ilinifanya nikawa najisikia amani sana nilalapo.
Mwaka huu mwezi fulan nikiwa nimelala, nikaota ndoto ya ajabu iliyonifaonya nisilimu wiki hiyo.
Ndoto yenyewe ilikuwa hivi:
Niliota Mimi na kaka yangu wa Arusha tukitembea maeneo ya mtaani kwetu hapo Tanga. Tukakutana na kundi kubwa la watu wa Kila aina matajiri kwa masikini wakiingia katika ule msikiti jirani.
Pamoja na tofauti zao za kiuchumi lakini wote waliingia ndani katika ule msikiti na kuwa kama kitu kimoja. Hakukuwa na madaraja mule ndani, hakukuwa na mabenchi ila wote waliingia kama watoto wadogo wakijisalimisha kwa Muumba wao. Ni kama vile pesa,vyeo,umaarufu waliviacha nje ya msikiti.
Nikapita jirani nikasikia ndani Quran inasomwa na wote wakistaajabu maajabu ya hiki kitabu kilichoandikwa Karne nyingi zilizopita.
Nikapita kwa pembeni nikielekea zangu nyumbani, ila kwa nje nkakutana na mtu akawa ananialika tuingie kuswali, nikakataa kwa visingizio vingi kama vile Nawahi sehemu,sijui kuswali,siku nyingine nk. Nk.
Lakini yule mtu akanisisitiza na kuniambia kuwa nikiingia Mungu atanitoa gizani na kuniweka kwenye njia ya haki.
Mi nkaondoka lakini nkamuacha kaka angu akiongea na yule mtu. Ndoto ikaishia hapo.
Kaka angu niliokuwa sijawasiliana naye takriban wiki 3 na sikumwambia kuhusu hiyo ndoto,lakini wiki hiyo hiyo nilisikia kuwa kaka angu wa Arusha amesilimu.
Kiukweli nilistaajabu sana na kujiuliza ni nini hiki na maana yake nini?
Baada ya Tafakuri ya mda mrefu niliamua kwenda kwenye huo msikiti labda nitakutana na yule mtu wa ndotoni na hiyo ndiyo ikawa njia iliyonipelekea kurudi kwenye uislam(Kila mtu huzaliwa muislam).
Katika kumtafuta yule mtu Kuna shehe nilimsimulia, akaamua kuchukua jukumu la kunifunza na kunielezea maajabu ya Quran na kiukweli Ile ndoto + maajabu ya Quran ilinifanya nikasilimu.
Bado naendelea kujifunza mengi mapya katika hii Imani ya kweli na haki.
Allahu akbar.
PS: yule mtu Bado sijampata
PS #2: Braza wa Arusha anajua namimi nimesilimu lakini sijamuhadithia kuhusu Ile ndoto.
Ngonjera nyingi pweinti sifuri.Isaya 53 imeeleza vyema,hiyo ilikuwa miala mamia kabla kina paulo hawajazaliwa. hiyo dhambi ya kumkana Yesu ndiyo dhambi yako ya kwanza utakayohukumniwa nayo. Ilikuwa desturi ya Mungu kusamehe au kuondoa dhambi kwa njia ya kumwaga damu, ukifanya dhambi lazima uadhibiwe kifo au la kitu kingine kife badala yako, ndio maana zamani na kwa desturi ya dini ya kiyahudi iliyokuwepo hata kabla muhamad hajazaliwa, walikuwa wanachinja wanyama, yaani kumwaga damu ya wanyama ichukue nafasi ya kumwaga damu ya mtenda dhambi.
sasa, Mungu aliamua kujibadilisha kuvaa mwili wa mwanadamu, akajibadilisha nafsi yake (Mungu ana nafsi na Roho, nafsi maana yake ana hisia, ana weza kujihisi vizuri au vibaya, na roho ni uhai), hivyo ile nafsi ya Mungu ilivaa mwili wa mwanadamu aliyetakiwa kuitwa Yesu, ili aishi kwenye mwili huu huu, ashinde dhambi, ateswe na amwage damu ili yeyote atakayemwamini dhambi zake zisafishwe kwa njia ya yeye. kwa hiyo, Yesu alifanyika mwili (reincanated ) akaka kwetu, na akafanyika kafara la wote, Damu yake iliyomwagika inayo nguvu kufuta dhambi za ulimwengu wote kwa yeyote atakayemwendea. yule asiyemwendea kama wewe utabaki na dhambi zako na ni hasara kwako. kwa sasa hatuna haja ya kuchinja kondoo au mbuzi au ng'ombe ili kuswettle dhambi zetu, imebaki kwa waganga wa kienyeji tu na mashetani ambao bado wanamwaga damu za wanyama, na damu za wanadamu pia kwenye ulimwengu wa mashetani.
Uthibitisho upo, kwamba kafara la Damu ya Yesu lina nguvu na yeyote anayemwendea hata kama alikuwa na maisha ya ajabu kiasi gani, huwa maisha yake yanabadilika na unaona wazi kabisa. kwa njia ya Damu ya Yesu au kwa lugha nyepesi kwako, kwa kafara la Yesu Kristo, Mungu anaweza kukutambua. ukiwa na dhambi Mungu hakutambui na hataki kukuona kwasababu yeye ni msafi, hivyo unahitaji kafara, na kafala lililopo sasaivi ni la Damu ya Yesu tu ndilo lilafuta dhambi na unakuwa safi kabisa (damu za wanyama hazikufuta, zilikuwa zinafunika tu).
Matendo 4:12 Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.
kwa hiyo, hata Mohamad, kwasababu alizaliwa baadaye kabisa baada ya Yesu kuja, na hakumwamini Yesu akaja na story zake za ajabu ajabu zilizodanganya watu kiasi hichi, yeye pia atahukumiwa na Yesu Kristo, wewe pia utahukumiwa naye na ninyi nyoote msiomwamini Mwana wa Mungu. tunasema ni Mwana wa Mungu kwasababu alifanyika mwili ili azaliwe kwa njia ya mwanadamu, pamoja na kwamba alikuwepo tangu awali naye ndiye Mungu yule yule. uamini au usiamini hili, ukweli ndio huo na ndio utakaokuja kukuhukumu.
Hivi kumbe Yesu Imani yake ni ukristo nilikuwa sijuiTumsifu Yesu Kristu! Kama nilivyosema hapo awali. Mimi nitabakia daima kwenye imani yangu. Na kamwe siwezi kushawishika na imani ya watu wengine wa Mataifa.
kwetu sisi tunaoamini Kristo Yesu, (najua wewe haukuwa mkristo, ni dini ile ila umeleta tu mada ili kujaribu kuvuta watu waingie kwenye dini yako, ndio maana haujui maandiko, mkristo yeyote anajua ni kwanini Yesu anaitwa Mungu, ), chukua tu mfano,Ngonjera nyingi pweinti sifuri.
Wapi apo imeonesha kuwa Yesu ni Mungu? Weka basi ushaahidi
uislam ulikuja baada ya miaka mingi ya Yesu, sasa alikuwaje muislam? fafanua. wakati Yesu yupo duniani kimwili, uislam ulikuwa haujazaliwa na mohamed alikuwa hajazaliwa. imani iliyokuwepo ilikuwa ya kiyahudi, although masalia yaliyokuja kuzaa uislam kiukweli yalikuwepo middle east, imani za Baal mungu asiye na nguvu mbele ya Mungu wa Israel, huyu ndiye wayahudi walipambana naye sana tangu enzi. imani hii iliaminiwa sana na watu wa Gaza (ya sasa), wakaanani na wengine wa middle east. baadaye ndio ilikuja kuzaa uislam, na ni imani potofu ya mashetani.Yesu alikuwa muislam
Umenena vema. Na huo ndio ukweli.hiyo ilikuwa ni ndoto toka kwa shetani mwenyewe, umepoteza focus na kitu kikubwa sana maishani mwako, kuna siku utakuja kujuta. lakini hata hivyo una nafasi ya kubadilika na umkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako, uokoke kwasababu dhambi ya kwanza utakayohukumiwa nayo na ndiyo ambayo wanadamu watahukumiwa nayo ni kumkana Yesu Kristo kuwa Mwokozi wako. sikulaumu kwa hali uliyokuwa nayo kwasababu hata wakati unaota ulikuwa gizani, haukuwa tofauti na huko ulikokweda, kuwa mkristo wa dini hauna tofauti na waislam, kwahiyo haujabadili chochote umetoka kwa shetani ukaenda kwa shetani yule yule umebadilisha vyumba tu. ila kuwa Mkristo aliyeokoka (sio wa dini) ni kitu valuable na special, na ndicho kitakachofanya mtu auridhi uzima wa milele. hapo upo safarini kwenda jehanum ya moto wa milele. uamuzi ni wako.