fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Jamaa gaNi sasa mtoa mada au uyo mwanamuziki[emoji3]
[emoji23] Dah naongelea mjadiliwa BossJamaa gaNi sasa mtoa mada au uyo mwanamuziki[emoji3]
[emoji1][emoji1] dah
from another planet au sio?
Kabisa kwenye video mondi kashundikaNaHii ngoma na video yake ni ya viwango vya juu sana, tena vile vya Hollywood kabisa binafsi naipa 100%.
Hamna kitu mnaacha kuwapa support wasanii wazuri kama marioo na konde boy mnasifia ujinga tu hapa kuanzia yatapita na hii sijui suwena hamna kitu marioo kamuacha mbali kwa utunzi na uimbaji sema bongo wanapenda ujinga tu ndio maana mwinjaku na baba levo wameenda bungeni.
Wivu tu, angalia usije ukanjinyea hapo ulipo.Hamna kitu mnaacha kuwapa support wasanii wazuri kama marioo na konde boy mnasifia ujinga tu hapa kuanzia yatapita na hii sijui suwena hamna kitu marioo kamuacha mbali kwa utunzi na uimbaji sema bongo wanapenda ujinga tu ndio maana mwinjaku na baba levo wameenda bungeni.
sasa mzee na ww si ufungue uzi wako uwasifie hao wasanii wako utopoloHamna kitu mnaacha kuwapa support wasanii wazuri kama marioo na konde boy mnasifia ujinga tu hapa kuanzia yatapita na hii sijui suwena hamna kitu marioo kamuacha mbali kwa utunzi na uimbaji sema bongo wanapenda ujinga tu ndio maana mwinjaku na baba levo wameenda bungeni.
Kwamba Yatapita na sasa hii Zuwena kaimba utumbo tu? [emoji23]Hamna kitu mnaacha kuwapa support wasanii wazuri kama marioo na konde boy mnasifia ujinga tu hapa kuanzia yatapita na hii sijui suwena hamna kitu marioo kamuacha mbali kwa utunzi na uimbaji sema bongo wanapenda ujinga tu ndio maana mwinjaku na baba levo wameenda bungeni.
Ujinga ujinga tu mtu anaimba chitaki chitaki na watu wanasema bonge la ngoma sasa hapa tukibashana tutakesha ila diamond kaisha toka 2018 pale ndio ilikuwa peak ya diamond baada ya pale ni utumbo nenda kasikilize album ya THE KID YOU KNOW kutoka kwa marioo halafu urudi hapa kazi kuendekeza ujinga halafu mnadai vyakula vimepanda na mnadai katiba mpya.sasa mzee na ww si ufungue uzi wako uwasifie hao wasanii wako utopolo
Hujaona nyimbo mzee ww hakuna kitu ni professional rubbish [emoji1787][emoji1787]Kwamba Yatapita na sasa hii Zuwena kaimba utumbo tu? [emoji23]
Mkuu jaribu kuficha chuki zako utaitwa mchawi.
Diomond ameroga watu mpaka wamekuwa misekule yaani diamond nampa ile NAOGOPA ya konde boy na uchafu uchafu wake wote pale hawezi toa nyimbo kama iyo.Wivu tu, angalia usije ukanjinyea hapo ulipo.
Ongea ukweli hata kama unamchukia mtu acha ujingaUjinga ujinga tu mtu anaimba chitaki chitaki na watu wanasema bonge la ngoma sasa hapa tukibashana tutakesha ila diamond kaisha toka 2018 pale ndio ilikuwa peak ya diamond baada ya pale ni utumbo nenda kasikilize album ya THE KID YOU KNOW kutoka kwa marioo halafu urudi hapa kazi kuendekeza ujinga halafu mnadai vyakula vimepanda na mnadai katiba mpya.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app