Hii ngoma mpya Zuwena ya Diamond Platnumz amedhihiridha kuwa bado yupo na utamu wake hajaisha kama tunavyodhania

Sasa mbona umepaniki wewe Marioo? Au upo na Konde Boy hapo mmepampiana
 
Huu ni mwaka wa 13 diamond anashindanishwaga na malofa kibao, yeye wala Hana papara

Mmefikia hatua ya kuita wengine malofa tena[emoji38][emoji38],wanaoweza kuwatunza vizuri hata kuliko huyo boss hapo dabliusibii!!!
 

Kama una umri wa ruge acha kubishana kuhusu mond na harmonize[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…