Mamillion wanaumia kimya kimya, kweli noma. So unafikiri ni jambo rahisi watu mamillion kuumwa alafu ifichike.
Kukupunguzia mzigo, nipe watu wawili unaowajua wanaumwa corona Tanzania na Address zao.
Hunatofauti na WHO, na Wapinzani hapa Nchini.
Mamillion watapukutika
Makumi elfu ya wagonjwa
Maelfu ya wananchi
Alafu unakuta hata wewe mwenyewe unayeongea hauvai barakoa, wala kunawa wala kukaa mbali na mikusanyiko (narefer opposition na WHO wenyewe, pamoja na nyie wakenya).
Kingine serikali imeplay part yake now ni part yenu kutumia akili zenu, maana mnaown decisions juu yenu wenyewe, ukiamua kunawa, kuvaa barakoa, kukaa mbali umeachiwa maelezo.
TELEKEZA WENYEWE.